Tag: bangi
- by adminleo
- November 7th, 2018
Wanahabari wanaoangazia kesi za bangi kulindwa
Na ISABEL GITHAE MAAFISA wa polisi wa kaunti ya Meru wamewahakishia wanahabari wanaofanya kazi katika eneo hilo usalama wao...
- by adminleo
- November 6th, 2018
Aambia korti mkewe huombea bangi kabla ya kuivuta
Na TITUS OMINDE MUME wa mchungaji mmoja katika mtaa wa Langas mjini Eldoret, alisababsiha kicheko mahakamani alipodai kuwa mkewe huombea...
- by adminleo
- October 17th, 2018
Canada nayo pia yahalalisha matumizi ya bangi
BBC na PETER MBURU CANADA imekuwa taifa la pili ulimwenguni kuhalalisha matumizi ya bangi, kwa misingi ya kimatibabu. Hii ni baada ya...
- by adminleo
- October 8th, 2018
Anaswa na sanduku lake la aiskrimu alilosafirishia bangi
Na CHARLES LWANGA MKUU wa Polisi Kaunti ya Kilifi amewataka maafisa wa polisi kuwa makini katika vita dhidi ya mihadarati baada ya...
- by adminleo
- October 5th, 2018
Bangi ni hatari kwa akili za watoto – Utafiti
Na PETER MBURU VIJANA wa umri mdogo ambao wanatumia bangi wanajisababishia matatizo ya muda mrefu katika akili zao ambazo ziko katika hali...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Wanaopigania bangi ihalalalishwe wanasaka umaarufu – Mututho
Na JOSEPH WANGUI ALIYEKUWA mwenyekiti wa Mamlaka ya Kitaifa ya Kukabiliana na Mihadarati (NACADA) John Mututho, amepinga vikali mipango...
- by adminleo
- September 18th, 2018
Coca-Cola kuanza kutengeneza soda yenye bangi
Na MASHIRIKA KAMPUNI ya kutengeneza vinywaji vya soda ya Coca-Cola imedokeza kuwa inawazia kuanza kutengeneza soda zilizo na...
- by adminleo
- September 13th, 2018
Dume ‘lililosafiri mbinguni’ lasema linapanda bangi kwa kuwa ni ‘amri ya Maulana’
Na PETER MBURU POLISI Kaunti ya Kiambu wanamzuilia mwanamume mmoja aliyekamatwa Jumatano kwa kupanda bangi shambani, akidai alifanya hivyo...
- by adminleo
- September 12th, 2018
Magunia 11 ya bangi yanaswa, mlanguzi ahepa
NA RICHARD MAOSI POLISI katika eneo la Naivasha Jumatatu usiku walishambulia nyumba ya mlanguzi wa dawa za kulevya na kunasa magunia 11 na...
- by adminleo
- September 12th, 2018
Bastola iliyopotea polisi akipambana na wauzaji bangi yapatikana
[caption id="attachment_10846" align="aligncenter" width="800"] Afisa wa polisi aonyesha bastola iliyopatikana katika Kituo cha Polisi cha...
- by adminleo
- September 3rd, 2018
Ninavuta bangi ili kuimarisha maarifa, mwanamume aambia korti
Na Stephen Munyiri MWANAMUME mmoja alivunja watu mbavu katika mahakama moja ya Karatina, Kaunti ya Nyeri Jumatatu, baada ya kueleza korti...
- by adminleo
- August 21st, 2018
ONYANGO: Mjadala wa kuhalalisha bangi haufai kupuuzwa
Na LEONARD ONYANGO BUNGE la 12 linazidi kujizolea aibu tele. Hivi karibuni baadhi ya waheshimiwa walipokea mlungula wa Sh10,000 kila...