Tag: bangi
- by adminleo
- February 25th, 2019
Wanasayansi sasa wadai bangi inaongeza nguvu za kiume
MASHIRIKA Na PETER MBURU HISTORIA ya kuvuta bangi, hata ikiwa mtu aliitumia mara moja, imebainika kuongeza nguvu za uzazi kwa kiwango...
- by adminleo
- February 15th, 2019
Aliyevunja nyumba avute bangi ashtuka kupata simba ndani
MASHIRIKA Na PETER MBURU MWANAMUME aliyevunja na kuingia katika nyumba moja kuu kuu eneo la Texas, Marekani ili akavutie bangi humo...
- by adminleo
- February 13th, 2019
Magunia 222 ya bangi yanaswa Kiambu
Na LAWRENCE ONGARO BANGI yenye thamani ya mamilioni ya hela ilinaswa katika jumba la kifahari eneo la Kahawa Sukari, Kaunti ya...
- by adminleo
- February 6th, 2019
Waliompa ajuza wa miaka 83 bangi wasakwa
Na MWANGI MUIRURI POLISI katika Kaunti ya Murang'a wanawasaka vijana watatu wanaodaiwa kumlazimisha nyanya wa miaka 83 avute bangi...
- by adminleo
- January 7th, 2019
Ufasaha wa lugha waokoa vijana waliopatikana na bangi
MASHIRIKA na PETER MBURU MAHAKAMA moja nchini Uingereza ilishangaza wengi ilipowasamehewanafunzi wawili walioshtakiwa kwa kupatikana na...
- by adminleo
- January 3rd, 2019
2019: Bangi itahalalishwa Kenya mwaka huu?
Na CHARLES WASONGA MIJADALA kuhusu iwapo bangi inapasa kuhalalishwa au la ilichipuza katika bunge la kitaifa na lile la seneti mwaka wa...
- by adminleo
- January 1st, 2019
Mama ashinda mashindano bila kumpa fahali wake bangi
Na FAUSTINE NGILA Mama Peninah Otuma kutoka kijiji cha Ematetye amefunguka kuhusu vita vya ng’ombe akisema yeye hampi fahali wake...
- by adminleo
- December 24th, 2018
2018: Mataifa yalihalalisha bangi huku Kenya ikiilaani
CECIL ODONGO na CHARLES WASONGA HUKU Kenya na mataifa mengine yakiendelea kuichukua bangi kama dawa ya kulevya ambayo ni marufuku...
- by adminleo
- November 16th, 2018
Polisi wang’oa bangi ya Sh15 milioni Migori
Na PETER MBURU POLISI katika kaunti ya Migori Alhamisi waling’oa bangi ya thamani ya Sh15 milioni katika shamba moja. Baada ya kupata...
- by adminleo
- November 14th, 2018
Mwanamke afichua kuvuta bangi kila siku kulimsaidia kupunguza kilo 45
MASHIRIKA na PETER MBURU MWANAMKE mmoja kutoka Canada amekiri kuwa kuvuta bangi kwa miaka miwili kulimfaa kupunguza uzani wa kilo 45...
- by adminleo
- November 14th, 2018
Baada ya Canada kuhalalisha bangi, sasa zao hilo halipatikani
MASHIRIKA na PETER MBURU MONTREAL, CANADA TAYARI nchi ya Canada imeanza kushuhudia upungufu mkubwa wa zao la bangi, wiki tatu tu baada ya...
- by adminleo
- November 12th, 2018
Mwanafunzi taabani kwa kupandikiza bangi kwa stroberi
MASHIRIKA NA PETER MBURU MWANAFUNZI wa chuo kimoja Marekani amekamatwa na polisi, kwa kosa la kuzalisha mimea ya kupandikiza kutokana na...