Tag: BBI
Jinsi serikali inavyozima kampeni ya wilibaro ya Ruto
Na BENSON MATHEKA SERIKALI imeweka mikakati ya kuzima kampeni ya “Kazi ni Kazi” ambayo Naibu Rais William Ruto amekuwa akitumia...
Faki ataka nakala za BBI kwa Kiswahili
Na WACHIRA MWANGI SENETA wa Mombasa Mohamed Faki ameitaka serikali ichapishe nakala ya mswada wa ripoti ya Jopokazi la Maridhiano (BBI)...
Tarehe ya refarenda kujulikana mwezi Machi
Na JUSTUS OCHIENG TAREHE ya kuandaliwa kwa kura ya maamuzi inayolenga kurekebisha Katiba kupitia Mswada wa Mpango wa Maridhiano (BBI)...
Kwani kuliendaje?
Na CHARLES WASONGA KUPITISHWA kwa Mswada wa BBI katika kaunti ambazo ni ngome ya Naibu Rais William Ruto kumewaacha wengi na maswali...
BBI: Magari kwa madiwani, wilbaro kwa vijana
Na BENSON MATHEKA VUTA nikuvute kuhusu mchakato wa marekebisho ya Katiba kupitia Mpango wa Maridhiano (BBI), imefanya wanaounga na...
Jubilee yawaonya vikali madiwani wa ngome ya Ruto wasiopigia debe BBI
Na ONYANGO K’ONYANGO CHAMA cha Jubilee sasa kimewaonya vikali madiwani walioteuliwa kutoka ngome ya kisiasa ya Naibu Rais, William...
Mutua alia Kalonzo ameteka BBI Ukambani
Na Pius Maundu GAVANA wa Machakos Dkt Alfred Mutua amemlaumu kinara wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, kwa kuteka mchakato wa kurekebisha...
Raila ataka kesi za kupinga BBI zitupiliwe mbali
Na WAANDISHI WETU KIONGOZI wa ODM, Bw Raila Odinga, ameiambia mahakama kwamba kesi zilizowasilishwa dhidi ya Mpango wa Maridhiano (BBI)...
Madiwani wa Nyeri watiwa presha wapitishe BBI
NA MWANDISHI WETU MADIWANI wa Kaunti ya Nyeri wametakiwa kuidhinisha mswada wa BBI la sivyo wote watang’olewa wakati wa uchaguzi mkuu wa...
Kaunti ya Nairobi pia yapitisha BBI
Na CHARLES WASONGA WABUNGE kadhaa wa Nairobi pamoja na Seneta Johnson Sakaja Alhamisi walifika katika bunge la kaunti hiyo kuwapa shime...
BBI sasa yafaulu kunasa kaunti za kwanza Bondeni
Na WAANDISHI WETU MABUNGE ya kaunti za Pokot Magharibi, Busia na Trans Nzoia, Jumanne yalipitisha mswada wa kugeuza katiba kupitia...
BBI: Madiwani wataka kikao na Uhuru, Ruto
Na ONYANGO K’ONYANGO MADIWANI kutoka eneo la Bonde la Ufa wanataka kukutana na Rais Uhuru Kenyatta na Naibu Rais William Ruto, huku...