• Nairobi
  • Last Updated May 14th, 2024 6:26 PM

Nusu-fainali ya kukata na shoka

LONDON, Uingereza Na MASHIRIKA Arsenal itavaana na Liverpool nayo Chelsea ifufue uhasama dhidi ya Tottenham katika nusu-fainali za...

Spurs yakung’uta West Ham na kutinga nne-bora Carabao Cup

Na MASHIRIKA TOTTENHAM Hotspur walifuzu kwa nusu-fainali za Carabao Cup baada ya kupepeta West Ham United kwa mabao 2-1 katika...

Arsenal wapewa Liverpool huku Chelsea wakionana na Spurs nusu-fainali za Carabao Cup

Na MASHIRIKA ARSENAL watakutana na Liverpool huku Chelsea wakivaana na Tottenham Hotspur kwenye nusu-fainali za Carabao Cup msimu huu wa...

Liverpool kualika Leicester huku West Ham wakiendea Spurs kwenye robo-fainali za Carabao Cup

Na MASHIRIKA MABINGWA mara nane wa Carabao Cup, Liverpool, watapepetana na Leicester City kwenye robo-fainali za kipute hicho msimu huu...

Mechi za marudiano ya kombe la FA zafutiliwa mbali huku michuano ya nusu-fainali ya Carabao Cup ikiwa sasa ya mkondo mmoja katika msimu wa 2020-21

Na CHRIS ADUNGO HAPATAKUWEPO na mechi za marudiano katika Kombe la FA msimu ujao iwapo vikosi vinavyomenyana vitatoshana nguvu na...

Mabao ya Rashford yazamisha Chelsea

Na MASHIRIKA LONDON, Uingereza MANCHESTER ilifuzu kwa robo-fainali ya michuano ya Carabao Cup kutokana na frikiki ya Marcus Rashford...