• Nairobi
  • Last Updated May 14th, 2024 8:55 AM

Mechi za marudiano ya kombe la FA zafutiliwa mbali huku michuano ya nusu-fainali ya Carabao Cup ikiwa sasa ya mkondo mmoja katika msimu wa 2020-21

Na CHRIS ADUNGO HAPATAKUWEPO na mechi za marudiano katika Kombe la FA msimu ujao iwapo vikosi vinavyomenyana vitatoshana nguvu na...