• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 12:11 PM

Malalamiko ya Nigeria yasababisha mashindano ya handiboli kuahirishwa

Na AGNES MAKHANDIA MAKALA ya 25 ya Kombe la Afrika la handiboli la wanaume yameahirishwa kutoka Januari 15-23 hadi Juni 22-Julai 2...

Midume hii ya KU inalenga kuteka handiboli ya kanda

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya Chuo cha Kenyatta (KU) ya mchezo wa handiboli, inasadiki kuwa itajikaza mithili ya mchwa ili...

Handiboli: Midume wa chuo Kikuu cha Kenyatta wafuzu gozi la Super Cup

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya Chuo Cha Kenyatta (KU) ilikung'uta Rangers kwa mabao 35-23 katika mechi ya Ligi Kuu ya Handiboli, na...

Fainali za handiboli ni hapo mwakani

Na CHRIS ADUNGO SHIRIKISHO la Handiboli la Afrika (CAHB) limethibitisha kwamba fainali za kuwania ubingwa wa Kombe la Afrika (AFCON)...

Ulinzi, Nairobi Water na NCPB kuwakilisha Kenya katika handiboli Cameroon

Na CHRIS ADUNGO KENYA itashiriki kipute cha kuwania ubingwa wa Afrika katika fainali za handiboli kwa klabu za wanawake zitakazoandaliwa...

Nairobi Water yahifadhi ufalme wa handiboli ya wanawake

Na JOHN KIMWERE NAIROBI Water imehifadhi taji la Super Cup katika handiboli ya wanawake baada ya kutoka chini mabao 13-11 na kuzaba...

NCPB mabingwa wa handiboli

Na JOHN KIMWERE TIMU ya wanaume ya Halmashauri ya Nafaka na Mazao nchini (NCPB) imeibuka mabingwa wa Ligi Kuu ya Handiboli msimu wa...

Timu ya handiboli yaelekea Rwanda kusaka ubingwa wa Afrika

Na GEOFFREY ANENE TIMU ya taifa ya handiboli ya Kenya ya wachezaji wasiozidi umri wa miaka 18 iliondoka nchini Agosti 6 saa mbili usiku...