• Nairobi
  • Last Updated May 9th, 2024 1:42 PM

COVID-19: Wakazi wa Kiambu kupimwa baada ya visa viwili kuthibitishwa Makongeni

LAWRENCE ONGARO na SAMMY WAWERU GAVANA wa Kiambu Dkt James Nyoro amesema wakazi wa Kiambu wataanza kupimwa Covid-19 kwa wingi kufuatia...

Serikali ya kaunti ya Kiambu yapata mbinu ya kugawa chakula kwa walioathiriwa zaidi kiuchumi na janga la Covid-19

Na LAWRENCE ONGARO KAUNTI ya Kiambu imeanza rasmi ugavi wa chakula walengwa wakiwa ni walioathiriwa zaidi na janga la Covid-19 ambalo...

Nyoro ateua mawaziri wapya

Na LAWRENCE ONGARO GAVANA wa kaunti ya Kiambu Dkt James Nyoro tayari ameteua baraza lake la mawaziri huku wakisubiri kuidhinishwa rasmi...

Gavana Nyoro huru kuteua naibu wake

Na RICHARD MUNGUTI GAVANA mpya wa kaunti ya Kiambu Dkt James Nyoro sasa yuko huru kumteua naibu wake. Hii ni baada ya Mahakama Kuu...

Ni rasmi James Nyoro ndiye Gavana wa Kiambu

Na SAMMY WAWERU JAMES Nyoro ameapishwa rasmi Ijumaa awe Gavana mpya wa Kaunti ya Kiambu ambapo kiapo kimesimamiwa na Jaji John Onyiego...

James Nyoro atarajiwa kuapishwa Gavana mpya wa Kiambu

Na CHARLES WASONGA SHEREHE za kumwapisha James Nyoro kuwa Gavana mpya wa Kiambu zitaanza Alhamisi mwendo wa saa nne za asubuhi, amesema...