• Nairobi
  • Last Updated May 2nd, 2024 8:55 PM

Mzee ashtakiwa kwa kuingia eneo la makaburi bila idhini

Na TITUS OMINDE MZEE mmoja alishtakiwa jana katika mahakama ya Eldoret kwa kuingia bila ruhusa katika eneo la makaburi ya familia moja...

MAKALA MAALUM: Kero ya wakazi kugeuza makaburi ya umma majaa ya taka Mombasa

Na WINNIE ATIENO KATIKA Kaunti ya Mombasa, wafu hawalali pema kwani makaburi yamegeuzwa majaa ya takataka. Makaburi ya umma ya...

Sitabomoa makaburi ya Waislamu, Gavana aahidi

Na RUSHDIE OUDIA GAVANA wa Kisumu, Prof Anyang Nyong'o amewahakikishia waumini wa dini ya Kiislamu kwamba makaburi yao mjini humo...

SHINA LA UHAI: Taswira ya vifo vya uzazi na watoto wachanga nchini Kenya

Na BENSON MATHEKA IDADI ya watoto wanaofariki wakati wa kuzaliwa na kabla ya kutimiza miaka mitano na akina mama wanaoaga dunia kutokana...

Maskwota wa Shifta wahofia kulaaniwa kwa kutotunza makaburi

NA KALUME KAZUNGU WAKAZI wa jamii ya Wabajuni waliofurushwa kutoka kwa makazi yao wakati wa vita vya Shifta mnamo miaka ya 1960 kaunti...

NEMA yazima waliofukua maiti kujenga soko makaburini

Na PETER MBURU MAMLAKA ya Usimamizi wa Mazingira (NEMA) imesimamisha ujenzi wa soko la Sh1.3 milioni katika eneo ambapo palikuwa kaburi...

Maafisa ndani kwa kumeza hela za makaburi

[caption id="attachment_3589" align="aligncenter" width="800"] Afisa wa usoroveya Cephas Kamande (kushoto) na afisa wa masuala ya ununuzi...