Tag: pogba
- by adminleo
- February 4th, 2019
Pogba injini ya Man United
Na CHRIS ADUNGO PAUL Labile Pogba, 25, ni kiungo matata mzaliwa wa Ufaransa ambaye kwa sasa anavalia jezi za Manchester United nchini...
- by adminleo
- January 14th, 2019
Ilikuwa vigumu sana kushinda mechi wakati wa Mourinho – Pogba
NA CECIL ODONGO KIUNGO wa Manchester United Paul Pogba amezidisha uhasama wake na aliyekuwa kocha wake Jose Mourinho, akisema alipata tabu...
- by adminleo
- November 21st, 2018
Nirudisheni Juventus, Pogba aiambia Man United
LONDON, Uingereza NYOTA Paul Pogba, 25, amewataka Manchester United kumwachilia mwishoni mwa msimu huu ili arejee jijini Turin, Italia...
- by adminleo
- October 1st, 2018
Haiwezekani kwa Pogba kutua PSG, Juventus au Barcelona. Hizi hapa sababu
Na CHRIS ADUNGO UHUSIANO kati ya nyota Paul Pogba na mkufunzi wake kambini mwa Manchester United, Jose Mourinho ulielekea kusambaratika...
- by adminleo
- October 1st, 2018
Pogba au Mourinho, nani aondoke?
NA JOB MOKAYA WIKI iliyopita, ulimwengu wote wa soka ulishuhudia tukio la kushangaza sana. Mitandao ya kijamii ilisheheni kanda ya video...
- by adminleo
- September 26th, 2018
Mourinho amvua Pogba unahodha
Na CECIL ODONGO MKUFUNZI wa Manchester United Jose Mourinho amethibitisha kwamba kiungo Paul Pogba amepokonywa unaibu nahodha wa timu...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Pogba na Mourinho warukiana kufuatia sare dhidi ya Wolves
Na CECIL ODONGO UHASAMA kati ya Kiungo wa Manchester United Paul Pobga na kocha Jose Mourinho unaendelea kutokota baada ya mwanadimba huyo...
- by adminleo
- September 14th, 2018
Man United itang’aa bila Pogba – Gary Neville
Na CECIL ODONGO MLINZI wa zamani wa Manchester United Gary Neville amesema kwamba klabu hiyo baado itang’aa hata mchezaji nyota na...
- by adminleo
- August 6th, 2018
Barcelona, PSG na Juventus kivumbini kumsajili Pogba
Na MASHIRIKA Tetesi zinadai kwamba kiungo mbunifu Paul Pogba anang’ang’aniwa na klabu za Barcelona, Paris Saint-Germain (PSG) na...