Tag: ufisadi
- by adminleo
- March 6th, 2019
Uhuru awaka Rotich akisukumwa kwa kona
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta Jumanne aliwanyeshea cheche za moto wandani wa Naibu Rais William Ruto kwa kumuita ‘mwizi...
- by adminleo
- March 5th, 2019
Uhuru hatafaulu kukabili ufisadi – Ripoti
Na WANDERI KAMAU ZAIDI ya thuluthi mbili ya Wakenya wanaamini kwamba Rais Uhuru Kenyatta hatafaulu kupigana na ufisadi licha ya juhudi...
- by adminleo
- March 5th, 2019
Raila adai ufisadi ulimsukuma afunge kiwanda chake
Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga amedai ufisadi serikalini na usimamizi mbaya wa mali ya umma ndio...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
Wakati wa kuvunja serikali umefika, viongozi Rift Valley wamwambia Uhuru
Na TITUS OMINDE BAADHI ya wabunge na wafuasi wa chama cha Jubilee wanamtaka Rais Uhuru Kenyatta avunje serikali iwapo anaamini kuwa...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
WASONGA: Tamko la Ruto ni hatari katika vita dhidi ya ufisadi
Na CHARLES WASONGA TANGU Rais Uhuru Kenyatta alipofanya mabadiliko ya uongozi katika Idara ya Upelelezi wa Jinai (DCI) na Afisi ya...
- by adminleo
- March 3rd, 2019
UFISADI: Ruto akosa msimamo
Na WAANDISHI WETU Naibu Rais William Ruto amedhihirisha kuwa mwanasaisa asiyekubali kupitwa na mjadala wowote lakini pia anayegeuza...
- by adminleo
- March 1st, 2019
Ufisadi: Raila atofautiana vikali na kauli ya Waititu
Na NDUNGU GACHANE KIONGOZI wa ODM, Raila Odinga jana alimkemea vikali Gavana Ferdinand Waititu wa Kiambu kwa kuhimiza Serikali ipunguze...
- by adminleo
- March 1st, 2019
Uhuru, Ruto wagongana
Na VALENTINE OBARA na NICHOLAS KOMU NAIBU RAIS William Ruto na bosi wake Rais Uhuru Kenyatta, Alhamisi walitofautiana kuhusu uwezo wa...
- by adminleo
- February 28th, 2019
UFISADI: Raila amtia Uhuru presha awatimue ‘marafiki’ zake
Na WANDERI KAMAU MUUNGANO wa NASA, unaoongozwa na Raila Odinga, umemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuwafuta kazi bila kusita mawaziri wote na...
- by adminleo
- February 27th, 2019
WASONGA: Uhuru anasubiri nini kutimua wafisadi serikalini?
Na CHARLES WASONGA SERIKALI ya Jubilee imekuwa ikijidai kuwa inaongozwa na kauli mbiu ya "Kusema na Kutenda" katika utendakazi wake...
- by adminleo
- February 27th, 2019
UFISADI: Nini muhimu kati ya urafiki na taifa?
Na BENSON MATHEKA WAKENYA wa matabaka mbalimbali wamemtaka Rais Uhuru Kenyatta kuwasimamisha ama kuwafuta kazi mawaziri ambao wametajwa...
- by adminleo
- February 21st, 2019
Balala ajitetea dhidi ya madai ya ufisadi
Na PETER MBURU WAZIRI wa Utalii Najib Balala Alhamisi alijitetea mbele ya Kamati ya Bunge kuhusu Michezo, Utalii na Utamaduni, kuhusiana...