Tag: ufisadi
- by adminleo
- March 22nd, 2019
Akaunti za Twitter na Facebook za Uhuru zazimwa
Na PETER MBURU AKAUNTI za mitandao ya kijamii za Rais Uhuru Kenyatta Ijumaa asubuhi zilizimwa, baada ya kudaiwa kuingiliwa na watu fulani...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Wanaompinga Kinoti wanahofia kukamatwa -Wabunge
Na PETER MBURU HAKUNA mtu anaweza kuikosoa Idara ya Kuchunguza Uhalifu (DCI) ikiwa hakuna kosa amefanya, Kamati ya Bunge kuhusu Usalama...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Mswada kutua bungeni kutupa wafisadi ndani maisha
Na CHARLES WASONGA WATU ambao watapatikana na hatia ya makosa yanayohusiana na ufisadi huenda wakapewa adhabu ya kifungo cha maisha...
- by adminleo
- March 19th, 2019
Timua wanaotatiza juhudi za kukabili ufisadi, Uhuru aambiwa
Na BARNABAS BII VIONGOZI kadhaa wa Rift Valley Jumatatu walitoa wito kwa Rais Uhuru Kenyatta aadhibu wanachama wa Jubilee wanaotatiza...
- by adminleo
- March 17th, 2019
Raila sio rika lako, Mishi Mboko amwambia Murkomen
MOHAMED AHMED na CHARLES WANYORO BAADHI ya viongozi wanaounga muafaka kati ya Rais Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa Upinzani, Raila Odinga,...
- by adminleo
- March 17th, 2019
Wafisadi wote Kenya wanyongwe, mbunge apendekeza
Na LAWRENCE ONGARO MBUNGE wa Thika Mjini Mhandisi Patrick Wainaina, amesema ufisadi umefika kiwango cha kustisha nchini na hivyo...
- by adminleo
- March 14th, 2019
DPP Haji atoa orodha ya washukiwa wa ufisadi kutoka makabila ya nchini Kenya
Na BENSON MATHEKA MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP), Bw Noordin Haji, amezima wanaodai kuwa vita dhidi ya ufisadi vinalenga jamii moja...
- by adminleo
- March 13th, 2019
Magavana wafisadi kusimamishwa kazi wakichunguzwa
Na CHARLES WASONGA MAGAVANA na maafisa wakuu serikalini walioshtakiwa kwa ufisadi watalazimishwa kuondoka afisini kwa muda hadi mahakama...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Keter: Vita dhidi ya ufisadi havilengi jamii ya Wakalenjin
W. KIPSANG na FLORA KOECH MBUNGE wa Nandi Hills Alfred Keter, amewapuuzilia mbali baadhi ya viongozi wa kisiasa kutoka Bonde la Ufa...
- by adminleo
- March 12th, 2019
Mbunge aitaka serikali kukabiliana na mafisadi bila huruma
Na LAWRENCE ONGARO SERIKALI ni sharti ipambane na ufisadi kwa vyovyote vile kwani vimekithiri mipaka, amesema kiongozi. Mbunge wa...
- by adminleo
- March 7th, 2019
UFISADI: Raila ‘amtafuna Ruto mzima mzima’
Na PETER MBURU KINARA wa chama cha ODM, Raila Odinga, Jumatano alimshambulia vikali Naibu Rais William Ruto akidai anaingilia uchunguzi...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Uhuru atakiwa apuuze Ajenda 4 Kuu ili kuzima ufisadi kwanza
Na MARY WAMBUI ALIYEKUWA Gavana wa Kiambu, Bw William Kabogo amemtaka Rais Uhuru Kenyatta, aweke kando utekelezaji wa Ajenda Nne Kuu na...