Tag: wagonjwa
Msongamano wa wagonjwa wazidi hospitalini
Na STEVE NJUGUNA AKINA mama wanaojifungua wamelalamikia msongamano wa wagonjwa kwenye wodi zao katika hospitali ya Kaunti ya Nyahururu,...
Mgomo wasukuma wagonjwa kufurika hospitali ya misheni Baringo
Na Florah Koech MAMIA ya wagonjwa katika Kaunti ya Baringo wamemiminika katika hospitali ya kimisheni eneo la Eldama Ravine, baada ya...
- by adminleo
- May 4th, 2020
Gavana wa Kiambu awajali wagonjwa
Na LAWRENCE ONGARO WAGONJWA wote waliokwama nyumbani katika Kaunti ya Kiambu na hasa wakongwe watapelekwa hospitalini na kutibiwa...
- by adminleo
- August 19th, 2019
Madaktari na wauguzi wakaa ngumu wagonjwa wakifa
FARHIYA HUSSEIN, WINNIE ATIENO na ANGELINE OCHIENG WAHUDUMU wa afya na madaktari katika kaunti tofauti wameapa kuendeleza migomo yao...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Madaktari wa Cuba kutua nchini Mei 28 kuhudumia wagonjwa mashinani
Na CECIL ODONGO WIZARA ya Afya Jumatatu ilitia saini makubaliano kati yake na Baraza la Magavana kuhusu ushirikiano wa kiafya na kuweka...
- by adminleo
- April 24th, 2018
Wagonjwa wanafariki tukitazama, serikali iwajibike – Madaktari
Na PETER MBURU MADAKTARI katika Hospitali ya Rufaa ya Nakuru Level Five wamekiri kuwa wagonjwa wamekuwa wakifariki humo kutokana na subira...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Hospitali ambako wagonjwa wanafariki ziadhibiwe – Mahakama
Na RICHARD MUNGUTI JAJI mmoja katika Mahakama Kuu amesema kwamba hospitali ambako wagonjwa wanafariki zinapaswa kuadhibiwa kwa kutokuwa na...