• Nairobi
  • Last Updated April 28th, 2024 4:55 PM

Mzee Wenger akataa kuinoa Fulham

Na CECIL ODONGO ALIYEKUWA kocha wa Arsenal Arsene Wenger ameripotiwa kukataa kazi ya ukufunzi wa klabu ya Fulham ambayo ilipandishwa...

Wenger kutuzwa na Rais George Weah Liberia

MASHIRIKA NA CECIL ODONGO RAIS wa Liberia George Weah anatarajiwa kumzawidi aliyekuwa kocha wa Arsenal, Arsene Wenger na tunu ya rais...

Ni kujituma kulitusaidia, si ubunifu – Wenger

Na CHRIS ADUNGO KOCHA wa Arsenal, Arsene Wenger anahisi kuwa ushindi wa vijana wake wa 3-2 dhidi ya Southampton Jumapili ulitokana na...