• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 11:15 AM

Afisa wa uhasibu akana wizi wa Sh4.9M

Na RICHARD MUNGUTI MFANYAKAZI aliyehamisha Sh4.9m kutoka kwa akaunti ya mwajiri wake hadi kwa akaunti yake ameshtakiwa kwa...

Mjakazi akiri kuiba mali ya mwajiri wake

NA JOSEPH NDUNDA MJAKAZI alifikishwa katika Mahakama ya Kibera, Nairobi akikabiliwa na shtaka la kuiba vito vya thamani ya Sh573,411...

Apewa siku moja kurejesha pesa alizoibia mwajiri

NA JOSEPH NDUNDA MWANAMUME aliyeibia mwajiri Sh22,682 amepewa hadi leo Ijumaa amrudishie au aende jela. Dancan Hardson Bala, alipewa...

Washukiwa wawili wakamatwa kwa kuiba paipu za maji

Na SAMMY KIMATU NAIROBI WASHUKIWA wawili walikamatwa mwishoni mwa wiki kwa kudaiwa kuharibu mradi wa maji uliofadhiliwa na Benki la...

Mtoto aibwa mchana punde baada ya kuzaliwa

Na BRIAN OJAMAA HALI ya sintofahamu imekumba familia moja katika eneo la Machinjoni, eneobunge la Kimilili katika Kaunti ya Bungoma,...

Ukitapeliwa pesa kwa simu ni heri uzisahau tu – DCI

Na LEONARD ONYANGO UWEZEKANO wa kurudishiwa fedha zako baada ya kutapeliwa na wahalifu kwa njia simu au mtandao, ni mfinyu, polisi...

Watanzania wawili kizimbani kwa shtaka la kuiba chupi

Na Richard Munguti RAIA wawili kutoka Tanzania wameshtakiwa kuiba chupi za wanawake za thamani ya Sh43,000. Koduruni Laano almaarufu...

Mabilioni ya miradi ya serikali ndiyo ‘hutafunwa’ zaidi – Ripoti

Na PETER MBURU MIRADI inayofadhiliwa na fedha za walipa ushuru ndiyo inayotafunwa zaidi na maafisa fisadi serikalini, ripoti ya Mkaguzi...

Wezi wa nyaya za stima bungeni taabani

Na RICHARD MUNGUTI WANAUME wawili walikiri walikamatwa na wafanyakazi wa kampuni ya Kenya Power wakiiba nyaya za kusambaza umeme katika...

Mchuuzi wa ndizi taabani kwa kupatikana na Sh900,000 ndani ya benki

Na RICHARD MUNGUTI MCHUUZI wa ndizi alipatikana na hatia ya kukutwa ndani ya benki akiwa hundi ya Sh0.9milioni aliyojua...

Wakili kortini kwa madai ya kulaghai mayatima Sh100m

Na RICHARD MUNGUTI WAKILI alishtakiwa jana pamoja na mfanyabiashara bwanyenye kwa kuwalaghai mayatima kampuni ya wazazi wao yenye...

Mhasibu akana kutafuna Sh22 milioni

Na RICHARD MUNGUTI MHASIBU katika chama cha ushirika cha Runka alishtakiwa Jumatatu kwa wizi wa Sh22.6 milioni. Bw Lawrence Kathurima...