Tag: raila
- by adminleo
- November 2nd, 2019
Tutamshinda Raila asubuhi na mapema Kibra – Ruto
Na SAMUEL BAYA na KITAVI MUTUA NAIBU Rais Dkt William Ruto amesema Jumamosi kwamba chama cha Jubilee kitashinda kwa kishindo chama cha...
- by adminleo
- October 21st, 2019
Mavazi ya Uhuru, Raila yaibua gumzo
Na WAANDISHI WETU RAIS Uhuru Kenyatta na Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga waliibua mjadala Jumapili walipowasili wakiwa wamevaa mavazi...
- by adminleo
- October 17th, 2019
Moto nyumbani kwa Raila
Na RICHARD MUNGUTI MVUTANO umezuka katika familia ya Kiongozi wa ODM, Raila Odinga kuhusiana na urithi wa mali ya mwanawe aliyeaga...
- by adminleo
- October 5th, 2019
Raila atetea Mwende Mwinzi
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa ODM Raila Odinga amewakosoa wabunge kwa kupinga uteuzi wa Bi Mwende Mwinzi kuwa balozi wa Kenya nchini...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
Uhuru alimtuma Kamanda kwa Raila?
Na NDUNGU GACHANE MAELEZO ya kina yameibuka kuhusu mkutano wa siri kati ya kiongozi wa ODM Raila Odinga na Mbunge Maalum wa Jubilee,...
- by adminleo
- September 5th, 2019
Raila mbioni kurai jamii ya Abagusii kukubali BBI
Na RUTH MBULA KINARA wa ODM Raila Odinga analenga kuendeleza udhibiti wake wa kisiasa katika eneo la Gusii, huku akionekana kuwarai...
- by adminleo
- September 5th, 2019
Nguvu mpya za Raila serikalini
Na BENSON MATHEKA Kiongozi wa chama cha ODM, Raila Odinga, amepata nguvu na ushawishi mkubwa serikalini, licha ya kukanusha kwamba...
- by adminleo
- August 28th, 2019
ODM yaahirisha mchujo, yadai sensa imelemaza mipango
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kinachoongozwa na kinara wa upinzani Bw Raila Odinga kimeahirisha kura ya mchujo ya kuteua mgombeaji...
- by adminleo
- August 20th, 2019
Raila na Kalonzo ni wasaliti – Mudavadi
Na DERICK LUVEGA na JUSTUS OCHIENG’ KIONGOZI wa Chama cha ANC, Bw Musalia Mudavadi amewakashifu viongozi wa upinzani wanaoshirikiana...
- by adminleo
- August 20th, 2019
Raila kupimwa makali tena
Na CHARLES WASONGA UCHAGUZI mdogo katika eneobunge la Kibra, Kaunti ya Nairobi umetoa nafasi kwa Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga...
- by adminleo
- August 13th, 2019
Waliomwapisha Raila wajuta
Na VALENTINE OBARA WANDANI wa Kiongozi wa Chama cha ODM Bw Raila Odinga, ambao walikuwa katika mstari wa mbele kumwapisha kuwa ‘rais...
- by adminleo
- August 10th, 2019
Nyoro adai jopo la BBI ni njama ya kumfaa Raila tu
Na NDUNGU GACHANE MBUNGE wa Kiharu Ndindi Nyoro, amepuuzilia mbali juhudi za Jopo la Maridhiano (BBI) kubadili Katiba, akisema kuwa...