• Nairobi
  • Last Updated April 27th, 2024 6:55 AM

Zaha kutegemewa na Ivory Coast kwenye AFCON 2022 nchini Qatar

Na MASHIRIKA FOWADI Wilfried Zaha wa Crystal Palace amejumuishwa katika kikosi kitakachotegemewa na timu ya taifa ya Ivory Coast kwenye...

Wilfried Zaha awataka Palace wamwachilie atafute hifadhi mpya kwingineko

Na MASHIRIKA FOWADI Wilfried Zaha amewataka waajiri wake Crystal Palace wamwachilie ajiunge na kikosi kingine kabla ya maandalizi kwa...

Zaha ndiye mchezaji wa kwanza wa EPL kususia utaratibu wa kupiga goti kabla ya mechi

Na MASHIRIKA FOWADI Wilfried Zaha wa Crystal Palace ndiye mwanasoka wa kwanza wa Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) kutopiga goti kabla ya...

Zaha sasa ataka Palace wamwachilie ajiunge na Everton

Na MASHIRIKA FOWADI mahiri wa Crystal Palace na timu ya taifa ya Ivory Coast, Wilfried Zaha, amewataka waajiri wake wa sasa wamwachilie...

WINDO LA BAYERN: Wilfried Zaha avutia wakubwa Allianz Arena

Na MASHIRIKA MUNICH, UJERUMANI BAYERN Munich wako tayari kuweka mezani kima cha Sh11 bilioni zinazodaiwa na Crystal Palace kwa...