• Nairobi
  • Last Updated May 16th, 2024 8:50 PM
Haji abadili nia kuhusu kesi ya gavana mstaafu

Haji abadili nia kuhusu kesi ya gavana mstaafu

NA RICHARD MUNGUTI

ALIYEKUWA Gavana wa Samburu, Moses Lenolkulal amepata pigo kubwa baada ya Mkurugenzi wa Mashtaka ya Umma Noordin Haji kubadili nia na kuamuru kesi inayomkabili ya kujipatia kwa njia ya ufisadi Sh84 milioni kutoka jimbo hilo iendelee.

DPP alikuwa ameamuru kesi hiyo ifutiliwe mbali.

  • Tags

You can share this post!

Arsenal pua na mdomo kuingia mkondo wa muondoano wa Europa...

Mudavadi kufanyia kazi katika eneo lenye kelele

T L