• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 8:46 PM
IPOA yachunguza maafisa wa usalama wanaodaiwa kuua raia Nithi na Lamu

IPOA yachunguza maafisa wa usalama wanaodaiwa kuua raia Nithi na Lamu

ALEX NJERU Na KALUME KAZUNGU

MAMLAKA Huru ya Kuangalia Utendakazi wa Polisi (IPOA) imeanzisha uchunguzi kuhusu vifo tata vya watu wawili katika kaunti za Tharaka Nithi na Lamu.

Katika kaunti ya Tharaka Nithi, IPOA imeanzisha uchukuzi kuhusu kifo cha mwenyekiti wa Muungano wa Kitaifa wa Wahudumu wa Boda Boda, tawi la kaunti hiyo, Willis Mugambi, aliyedaiwa kupigwa risasi na polisi mjini Chuka.

  • Tags

You can share this post!

Uhuru asalia kimya akihudhuria misa ya Pasaka jijini Mombasa

Jumba la wajawazito kujifungua lajengwa Gatundu Kaskazini

T L