• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 10:50 AM
Ahimiza wazazi kulinda watoto wasibebwe na maji

Ahimiza wazazi kulinda watoto wasibebwe na maji

Na KNA

GAVANA wa Kwale, Bw Salim Mvurya (pichani), amewashauri wazazi kuwa waangalifu kwa watoto wao wasije wakasombwa na mafuriko.

Alisema hayo akiomboleza na familia za watoto ambao walifariki Jumatatu katika mto Mwache.

Miili ya watoto wawili kati ya watatu waliozama ilipatikana, na kufikia Jumatano, juhudi za kumtafuta mtoto wa tatu zilikuwa bado zinaendelea.

  • Tags

You can share this post!

Wabunge 2 wakemea wanasiasa wanaoendesha siasa za matusi

ODM yamkubali Kingi kwa masharti

T L