Tag: 2022
- by adminleo
- February 27th, 2020
Mlima Kenya wasilazimishwe kumpigia Ruto kura 2022 – Wakalenjin
Na ONYANGO K’ONYANGO BARAZA la Wazee wa Jamii ya Wakalenjin (Myoot) limetaka wapiga-kura wa eneo la Mlima Kenya wasilazimishwe...
- by adminleo
- February 10th, 2020
Wania urais 2022, mawaziri wa zamani wamshauri Gideon Moi
Na LEONARD ONYANGO VIONGOZI waliohudumu katika serikali ya Rais Mstaafu Daniel arap Moi sasa wanamtaka mwanawe Seneta wa Baringo Gideon...
- by adminleo
- February 2nd, 2020
JAMVI: Kauli za Rais zaonyesha huenda asing’atuke madarakani 2022
Na WANDERI KAMAU KAULI mbalimbali za Rais Uhuru Kenyatta kuhusu mustakabali wake wa kisiasa zimeonyesha kuwa huenda asing’atuke...
- by adminleo
- December 17th, 2019
ODONGO: Tuangazie utendakazi wa Raila, Ruto kuliko asili yao
NA CECIL ODONGO WAKENYA hawafai kujiingiza kwenye siasa ambazo zinajikita katika kukosoa au kusifia uongozi wa familia kubwa...
- by adminleo
- December 12th, 2019
2022: Puuzeni porojo kuwa ninashirikiana na Ruto – Kalonzo
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa Wiper Bw Kalonzo Musyoka amepuuzilia mbali madai kuwa ameanzisha mazungumzo na Naibu Rais William Ruto...
- by adminleo
- December 8th, 2019
JAMVI: Hakuna dalili za NASA kujifufua tena kwa ajili ya 2022
Na BENSON MATHEKA Hakuna dalili zozote za muungano wa NASA kufufuka huku tofauti za vinara wake wanne zikipanuka kila siku uchaguzi mkuu...
- by adminleo
- November 24th, 2019
2022: Tangatanga walivyopanga kadi zao kumzima Raila
Na COLLINS OMULO NAIBU Rais William Ruto na viongozi wa Chama cha Jubilee wanaoegemea upande wake, maarufu kama Tangatanga, wamepanga...
- by adminleo
- September 16th, 2019
Wandani wa Raila wamuomba Uhuru azime ziara za Ruto
NA RUSHDIE OUDIA WANDANI wa kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga kutoka Nyanza wamemrai Rais Uhuru Kenyatta aingilie kati ili kuzima...
- by adminleo
- September 2nd, 2019
Lazima Ruto aingie Ikulu – Tangatanga
Na GEORGE MUNENE WABUNGE 18 kutoka eneo la Mlima Kenya wanaoegemea mrengo wa Tangatanga Jumapili walisisitiza kuwa Naibu wa Rais William...
- by adminleo
- September 1st, 2019
JAMVI: Ni kushuka mchongoma kwa Kalonzo kuingia Ikuluu 2022 bila Raila
Na BENSON MATHEKA Kauli ya kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka kwamba hatahitaji kuungwa mkono na kinara wa ODM, Raila Odinga,...
- by adminleo
- August 6th, 2019
Ufunguo wa Ikulu 2022 unashikiliwa na Uhuru na Raila – Kamket
Na LEONARD ONYANGO MBUNGE wa chama cha Kanu sasa anadai kuwa wanasiasa wanaopinga Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa ODM Raila Odinga...
- by adminleo
- July 26th, 2019
2022: Uhuru amuacha Ruto mataani
Na WANDERI KAMAU SASA ni rasmi kuwa Naibu Rais yuko kivyake katika juhudi za kumrithi Rais Uhuru Kenyatta hapo 2022. Hii ni baada ya...