• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 10:50 AM

Dereva amrejeshea mwanafunzi laputopu na Sh20,000 alizosahau kwenye matatu

Na LAWRENCE ONGARO DEREVA amemrejeshea mwanafunzi wa chuo kimoja laputopu na Sh20,000 alizosahau kwenye matatu. Bw Baselio Kimani...