Tag: dau la maisha
- by adminleo
- July 5th, 2019
DAU LA MAISHA: Anapigana na desturi potovu kuokoa waseja na hata walioachika
Na PAULINE ONGAJI WAHENGA walisema muacha mila ni mtumwa, msemo ambao umesababisha kuwepo kwa jitihada kibao kuhifadhi baadhi ya...
- by adminleo
- June 29th, 2019
DAU LA MAISHA: Anawainua wazazi wanaolea peke yao
Na PAULINE ONGAJI MARA nyingi wazazi wanaowalea wanao peke yao (single parents) hukumbwa na changamoto ya kutekeleza majukumu yao ya...
- by adminleo
- June 15th, 2019
DAU LA MAISHA: Anapiga vita ulanguzi wa watu na utumwa
Na PAULINE ONGAJI KATIKA taifa ambalo viwango vya ukosefu ajira vinaendelea kuongezeka, Wakenya wengi wamekuwa wakitafuta fursa za ajira...
- by adminleo
- June 8th, 2019
DAU LA MAISHA: ‘Heri ya kijungujiko kuliko ‘ombaomba’…’
Na PAULINE ONGAJI UNAPOTAZAMA ukurasa wake katika mtandao wa kijamii wa Facebook, ni rahisi kudhani ni msichana wa kawaida mwenye umri...
- by adminleo
- June 1st, 2019
DAU LA MAISHA: Bila ujuzi wala uzoefu kajitosa katika ujenzi
Na PAULINE ONGAJI BILA tajiriba, ni wanawake wachache ambao wana ujasiri wa kujitosa katika sekta zinazotawaliwa na wanaume hasa ya...
- by adminleo
- May 25th, 2019
DAU LA MAISHA: Digrii anayo lakini auza ndizi mtaani
Na PAULINE ONGAJI NYAKATI hizi ambapo viwango vya ukosefu wa ajira vimekuwa vikiongezeka kila kuchao, vijana wengi wamekuwa wakipoteza...
- by adminleo
- May 17th, 2019
DAU LA MAISHA: Bidii yake yatambuliwa kazini
Na PAULINE ONGAJI KATIKA umri wa miaka 33 pekee, yeye ni meneja mkurugenzi wa VAELL Kenya, mojawapo ya mashirika makuu ya kukodisha bidhaa...
- by adminleo
- April 27th, 2019
DAU LA MAISHA: Afunza watoto, vijana kuthamini mazingira safi
Na PAULINE ONGAJI SIO siri kwamba ulimwengu unazidi kusakamwa na uchafuzi wa mazingira huku hasa janga la plastiki likizidi kuwa donda...
- by adminleo
- March 23rd, 2019
DAU LA MAISHA: ‘Kazi ni kazi, mradi wapata tonge la siku’
Na PAULINE ONGAJI KWA baadhi, kazi ya uendeshaji teksi haipaswi kufanywa na wanawake hasa kutokana na sababu za kiusalama. Hasa...