• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 8:57 PM

DINI: Tunapoishi na wenzetu tuachiane alama za moyoni, yaani tugusane kwa matendo mema

Na PADRE FAUSTIN KAMUGISHA UNAPOKUTANA na watu huwa wanakupima kichwa chako lakini unapoondoka wao hupima moyo wako. Unapokutana na...

DINI: Penda kusema ukweli siku zote, njia ya mwongo ni fupi, imejaa aibu na fedheha

NA PADRE FAUSTIN KAMUGISHA NYUMBA ya muongo ikiwaka moto hakuna atakayemuamini. Na ukisema uongo Jumamosi utaaibika Jumapili. Ndivyo...

DINI: Dunia hii ina mitihani mingi, usitamauke, mtafute Mungu ndiye mtetezi wako

  Na WYCLIFFE OTIENO UMEWAHI kujipata katika hali ya mtihani mgumu? Siku moja nilipata habari kumhusu mtu mmoja katika kijiji...

DINI: Usitishwe na wanaokusema vibaya,vumilia, huwezi kuridhisha kila mtu

NA PADRE FAUSTIN KAMUGISHA WATU milioni 50 wakisema jambo la kipumbavu bado ni jambo la kipumbavu,” alisema Anatole France...

DINI: Msalaba ndio siri ya mafanikio; hakuna utukufu bila mahangaiko

Na FAUSTIN KAMUGISHA UKINYOOSHA mikono yako upandeni unakuwa na sura ya msalaba. Sura ya binadamu ni sura ya msalaba. Kichwani hadi...

DINI: Tuwe kama bundi; tuutumie usiku ‘kuona’ yale ambayo wengi hawaoni

NA PADRE FAUSTIN KAMUGISHA  Mimi ni bundi wa usiku, alisema Barak Obama, rais wa 44 wa Marekani. Kwa maneno hayo tunaalikwa kutumia...

DINI: Usikate tamaa, kipenga cha mwisho bado

Na FAUSTIN KAMUGISHA MAMBO hayajaisha mpaka Mungu aseme yameisha. Mwisho hauji upesi. Mungu ni refa katika mchezo wa maisha....

DINI: Siku njema huonekana asubuhi, ijaze dua na kuichangamkia kwa furaha

Na FAUSTIN KAMUGISHA SIKU njema huonekana asubuhi, ni methali ya Kiswahili. Atakayekula vizuri chakula anatambulika wakati wa kunawa...

DINI: Unapotubu na kuungama, Mungu mwenye rehema atakufuta machozi na kukunusuru

NA PADRE FAUSTIN KAMUGISHA WANADAMU kuna mengi tunayokumbana nayo. Kama inavyosema Biblia katika kitabu cha Mhubiri 3:1-8, “Kwa kila...

DINI: Fursa hubisha hodi mara moja, ikumbatie

NA PADRE FAUSTIN KAMUGISHA Fursa haiji ikipigiwa ving’ora. “Fursa ni ngumu kutambuliwa; kwa kawaida tunaitegemea kutushtua kwa milio...

DINI: Matunda ya kesho yako kwenye mbegu za leo kwa hivyo basi la leo kalifanye leo

NA PADRE FAUSTIN KAMUGISHA MWANADAMU ana siku mbili anazozijua katika maisha yake: jana na leo. Kesho iko mikononi mwa Mungu. Leo ni...

DINI: ‘Sijambo’ neno la kufungua mwaka na kuhesabu baraka badala ya balaa

Na FAUSTIN KAMUGISHA TUNAPOFUNGUA mwaka mpya wa 2021, wengi tutalitamka neno sijambo. Unapofungua siku unaweza kutamka neno sijambo....