• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 6:50 AM
Viongozi wasutwa kukosa kikao cha Jumuia ya Pwani

Viongozi wasutwa kukosa kikao cha Jumuia ya Pwani

Na ANTHONY KITIMO

WANASIASA wa Pwani wamekashifiwa kwa kutohudhuria kongamano la Jumuiya ya Pwani lililofanyika jana katika Kaunti ya Kwale.

Gavana wa Tana River, Bw Dhadho Godhana (pichani) pekee ndiye kiongozi wa kisiasa aliyekuwepo. Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga aliyetarajiwa kuhudhuria, alihutubia kikao kupitia kwa mtandao akiwa Nairobi.

You can share this post!

MCAs waenda TZ kufunzwa adabu

OKA wapendekeza hukumu ya kifo kwa watu wafisadi

T L