• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 4:23 PM

Raila apigia debe handisheki Uingereza

Na LEONARD ONYANGO KIONGOZI wa ODM Raila Odinga ametumia ziara yake nchini Uingereza Jumatatu kupigia debe handisheki baina yake na Rais...

MSAMAHA: Unafiki katika maombi

Na BENSON MATHEKA VIONGOZI wanapokutana Alhamisi kwa maombi ya kitaifa ya mwaka huu katika hoteli ya Safari Park, Nairobi, unafiki wao...

HANDISHEKI: Kisumu kupata taa za trafiki miaka 118 baadaye!

Na JUSTUS OCHIENG KISUMU itapata taa za trafiki kwa mara ya kwanza kabisa, miaka 118 tangu jiji hilo la eneo la Nyanza kujengwa, ishara...

Handisheki imewazima wanaharakati, walikuwa wakimtegemea Raila – Wasomi

Na PETER MBURU WASOMI na viongozi wa nyanja zingine wamedai kuwa mashirika ya kutetea haki nchini yamekosa nguvu baada ya kiongozi wa...

Ukambani walia matunda ya handisheki hayajawafikia

Na PIUS MAUNDU SIKU chache baada ya kiongozi wa ODM kuzindua miradi kadhaa katika ngome yake ya Nyanza kutokana na muafaka kati yake na...

Sitafuti kiti cha kisiasa, asisitiza Raila

Na CAROLINE WAFULA na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga amesisitiza kwamba msimamo wake wa kuungana na Rais Uhuru...

JAMVI: Je, Raila alijichimbia kaburi kukubali handisheki ya Uhuru?

NA CECIL ODONGO KIONGOZI wa Chama cha Orange Democratic Movement (ODM) Raila Odinga amejipata katika njiapanda kisiasa baada ya baadhi...

Handisheki yamuumiza ‘Baba’

Na WANDERI KAMAU USHAWISHI wa kisiasa wa Kiongozi wa ODM, Raila Odinga, umefifia tangu handisheki, wadadisi wa siasa...

Handisheki itawafaa Wakenya wote – Uhuru

Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta amekosoa wanasiasa wanaopinga mwafaka kati yake na Kiongozi wa Upinzani, Bw Raila Odinga na...

WASONGA: Raia wanataka suluhu kwa matatizo, sio siasa

Na CHARLES WASONGA WAKATI huu maadui wakubwa wa Wakenya wakati huu ni njaa, kiangazi na ufisadi. Ndiyo matatizo makuu yanayoangaziwa...

JAMVI: Handisheki ilivyoibua ubabe wa kisiasa baina ya Orengo na Mbadi

NA CECIL ODONGO MATAMSHI ya Seneta wa Siaya James Orengo ambaye pia ni mwandani wa kinara wa ODM Raila Odinga, kwamba chama hicho kiko...

JAMVI: Huenda shinikizo za wandani wa Ruto kwa Uhuru zikamwondoa Raila kwa handisheki

Na LEONARD ONYANGO MATAMSHI ya wandani wa Naibu wa Rais William Ruto dhidi ya Rais Uhuru Kenyatta yameibua maswali kuhusu ikiwa urafiki...