Tag: harambee stars
- by adminleo
- May 31st, 2019
Uhuru aipokeza Harambee Stars bendera ya taifa
Na JOHN ASHIHUNDU RAIS Uhuru Kenyatta amewasihi wachezaji wa Harambee Stars wajiamini na kucheza kwa kujituma watakapokuwa nchini Misri...
- by adminleo
- May 20th, 2019
#AFCON2019: Harambee Stars yaanza kunoa kucha
Na GEOFFREY ANENE Mabingwa wa Afrika Mashariki na Kati, Kenya wameanza Jumatatu maandalizi yao ya Kombe la Bara Afrika (AFCON)...
- by adminleo
- May 16th, 2019
Migne afafanua mbona akaacha ‘Cheche’ baridini
Na CHRIS ADUNGO DAVID ‘Cheche’ Ochieng ni miongoni mwa wachezaji waliokosa kuunga orodha ya wanasoka 26 ambao kocha Sebastien Migne wa...
- by adminleo
- May 14th, 2019
Migne kutaja kikosi cha Stars tayari kwa Afcon
Na GEOFFREY ANENE MWEZI mmoja baada ya Kenya kufahamu wapinzani wake wa mechi za makundi za Kombe la Afrika (Afcon), kocha Sebastien Migne...
- by adminleo
- April 16th, 2019
Stars kufahamu Ijumaa wapinzani wake wa mechi za kirafiki
Na GEOFFREY ANENE SHIRIKISHO la Soka la Kenya (FKF) limefichua kwamba timu ambazo Harambee Stars itapimana nazo nguvu kabla ya kuelekea...
- by adminleo
- March 23rd, 2019
TAHARIRI: Maandalizi ya mapema yatazaa matunda Stars
Na MHARIRI MIEZI ya Juni na Julai 2019 itakuwa ya shughuli tele za kispoti kwa timu ya taifa ya soka Harambee Stars. Kikosi hiki...
- by adminleo
- March 21st, 2019
Manung’uniko tele Stars wakielekea Ghana AFCON
Na CHRIS ADUNGO TIMU ya taifa ya Harambee Stars inatarajiwa kuondoka humu nchini hii leo kuelekea Ghana kwa marudiano ya mechi ya Kundi F...
- by adminleo
- February 7th, 2019
Kenya yashuka viwango vya FIFA hadi 106
Na GEOFFREY ANENE KENYA imeteremka nafasi moja katika viwango bora vya Shirikisho la Soka Duniani (FIFA) vilivyotangazwa...
- by adminleo
- December 8th, 2018
Mtapokea mamilioni yenu Machi 2019, Harambee Stars yaambiwa
Na GEOFFREY ANENE AHADI ya Harambee Stars kuzawadiwa na serikali Sh50 milioni ikifuzu kushiriki Kombe la Afrika mwaka 2019 ambayo...
- by adminleo
- November 1st, 2018
Sura 4 mpya Stars Migne akitarajia nyota wa majuu
Na CHRIS ADUNGO KOCHA Sebastien Migne, amekitaja kikosi cha wachezaji 30 atakachoanza kukitia makali wiki ijayo kwa minajili ya kibarua...
- by adminleo
- October 15th, 2018
TAHARIRI: #HarambeeStars isipuuzwe tena
Na MHARIRI KWANZA ni pongezi wa timu ya taifa Harambee Stars kwa ushindi mkubwa dhidi ya Ethiopia katika uwanja wa kimataifa wa michezo...
- by adminleo
- September 26th, 2018
Serikali yazidi kuzembea kutoa fedha kwa Harambee Stars kusafiri Ethiopia
Na CECIL ODONGO ZIKIWA zimesalia siku 15 tu kabla mechi ya kufuzu kushiriki dimba la Bara Afrika mwaka wa 2019 (Afcon) kati ya Kenya na...