Tag: huduma namba
- by adminleo
- November 25th, 2019
Ni dharura gani ya Huduma Namba iliisukuma serikali?, maseneta washangaa
Na IBRAHIM ORUKO MASENETA sasa wanaitaka serikali ifafanue ni dharura gani iliyochochea msukumo wa kukumbatia usajili wa Huduma Namba na...
- by adminleo
- July 18th, 2019
Huduma Namba: Waliodinda kujisajili kuadhibiwa
Na MARY WANGARI WAKENYA ambao bado hawajajisajilisha kwa Huduma Namba huenda wakakosa huduma muhimu mswada uliowasilishwa na Serikali...
- by adminleo
- July 2nd, 2019
Makarani walilia malipo ya kusajili watu Huduma Namba
Na WAANDISHI WETU MAKARANI waliofanya kazi ya kusajili Wakenya kwa ajili ya Huduma Namba mwezi uliopita wameshutumu serikali kwa...
- by adminleo
- June 15th, 2019
Waliojisajili kuanza kupokea kadi za Huduma Namba mwezi Julai
Na CHARLES WASONGA na BENSON MATHEKA WAKENYA na wageni waliojisajili wataanza kupokea Huduma Namba zao kuanzia Julai, Waziri wa...
- by adminleo
- June 6th, 2019
Ngugi wa Thiong’o ajisajili kwa Huduma Namba Amerika
Na CHARLES WASONGA MSOMI Mkenya mtajika Profesa Ngugi wa Thiong’o amejiandikisha kwa mfumo wa Huduma Namba katika ubalozi wa Kenya...
- by adminleo
- June 5th, 2019
HUDUMA NAMBA: Chifu atuzwa Sh100,000 kwa kusajili watu wengi
Na GEORGE MUNENE NAIBU chifu ambaye kata yake iliongoza katika usajili wa Huduma Namba katika Kaunti ya Kirinyaga ametuzwa...
- by adminleo
- May 29th, 2019
Watu zaidi ya nusu milioni Nakuru hawakujitokeza kupata Huduma Namba
NA PHYLLIS MUSASIA ZAIDI ya watu nusu milioni wanaoishi katika Kaunti ya Nakuru, walikosa kushiriki shughuli ya kukiandikisha ili...
- by adminleo
- May 28th, 2019
HUDUMA NAMBA: Chifu aamriwa awalipe makurutu wa ziada Sh40,000
Na MWANGI MUIRURI Jopo maalumu la kiusalama katika Kaunti ya Murang'a limemwamrisha chifu mmoja eneo hilo awalipe makurutu watano...
- by adminleo
- May 26th, 2019
HUDUMA NAMBA: Usajili wakamilika wachache wakijitokeza baada ya muda kuongezwa
Na Charles Wasonga ZOEZI la usajili wa Huduma Namba lilikamilika rasmi Jumamosi huku watu wachache wakijitokeza ishara kwamba huenda...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
HUDUMA NAMBA: Baadhi ya watu kusajiliwa upya
NA CECIL ODONGO WALIOJISAJILI kwa Huduma Namba huenda wakahitajika kujisajili upya katika afisi za chifu endapo itapatikana habari...
- by adminleo
- May 18th, 2019
Usajili: Agizo la Rais lafanya wengi kulegea
Na CHARLES WASONGA WAKENYA wamelegeza bidii ya kupokea Huduma Namba baada ya Rais Uhuru Kenyatta kuamuru muda wa kujisajili uongezwe kwa...
- by adminleo
- May 17th, 2019
Rais Kenyatta aagiza shughuli ya usajili wa Huduma Namba iendelee kwa wiki moja zaidi
Na CHARLES WASONGA na PSCU WAKENYA ambao walikuwa hawajisajili kwa Huduma Namba kwa sababu moja ama nyingine, wamepata afueni baada ya...