Tag: jela
- by adminleo
- August 23rd, 2019
Utaenda jela ukikataa sensa
Na BENSON MATHEKA WAKENYA watakaosusia shughuli ya kuhesabu watu itakayoanza Jumamosi jioni, wanakabiliwa na hatari ya kutozwa faini ya...
- by adminleo
- August 16th, 2019
Baktash Akasha ahukumiwa kifungo cha miaka 25 jela Amerika
Na KEVIN J. KELLEY na CHARLES WASONGA MAHAKAMA moja ya Amerika imemhukumu Baktash Akasha kifungo cha miaka 25 jela baada ya kumpata na...
- by adminleo
- August 15th, 2019
Wahimizwa wasibague mahabusu wa zamani
Na ELIJAH MWANGI WAKAZI wa Meru wametakiwa kukoma kuwabagua wafungwa wa zamani. Machifu wawili; Bi Isabel Mutura wa lokesheni ya...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
SHAMBULIZI LA GARISSA: Mtanzania jela maisha, Wakenya wawili ndani miaka 41
NA MARY WANGARI @taifa_leo RAIA wa Tanzania ambaye ni mmoja wa washukiwa watatu katika mashtaka ya kusaidia utekelezaji wa shambulizi...
- by adminleo
- July 3rd, 2019
Mfungwa aliyejifanya maiti kutoroka jela achomwa hadi kufa
MASHIRIKA Na PETER MBURU Maryland, Marekani JARIBIO la mfungwa kutoroka gerezani eneo la Maryland, Marekani kwa kujificha katika...
- by adminleo
- June 7th, 2019
Mwanamume aliyepatikana na hatia ya kunajisi wasichana wawili asukumwa jela maisha
Na LAWRENCE ONGARO MWANAMUME mmoja amepokezwa adhabu ya kifungo cha maisha gerezani baada ya kupatikana na hatia ya kuwanajisi wasichana...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Mwekezaji ataka Joho atupwe jela miezi 6
PHILIP MUYANGA Na CHARLES LWANGA MFANYABIASHARA aliyeshtaki serikali ya Kaunti ya Mombasa kufuatia mzozo wa shamba, sasa anataka Gavana...
- by adminleo
- May 8th, 2019
ONYANGO: Idadi kubwa ya vijana waliopo magerezani inashtua sana
Na LEONARD ONYANGO RIPOTI kuhusu Hali ya Uchumi ya 2019 iliyotolewa na Shirika la Takwimu nchini (KNBS) wiki iliyopita , inafaa kushtua...
- by adminleo
- February 13th, 2019
Jela ambapo wafungwa huondoka kila siku kwenda kusaka riziki
MASHIRIKA Na PETER MBURU KATIKA jela ya Sanganer katika Jiji la Jaipur, India kuna mazingira ya aina yake kwani japo wahalifu hufungwa...
- by adminleo
- June 14th, 2018
Ndani miaka 105 kwa kulawiti wavulana watatu
Na CHARLES WANYORO MWANAMUME mwenye umri wa miaka 36 Jumatano alifungwa jela miaka 105 kwa kuwalawiti wavulana watatu kwa siku tatu...
- by adminleo
- May 28th, 2018
Pendekezo wafisadi wote wasukumwe jela maisha
Na HAMISI NGOWA MBUNGE wa Likoni, Bi Mishi Mboko amependekeza watu wanaopataikana na hatia ya ufisadi wafungwe gerezani maisha na kisha...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Mwanamke ndani miaka 15 kwa kunajisi tineja
Na RUSHDIE OUDIA KATIKA kisa kisicho cha kawaida, Mahakama ya Kisumu Jumatano ilimhukumu mwanamke wa miaka 24 kifungo kikali cha miaka...