Tag: kalonzo
Lazima niwanie urais 2022 – Kalonzo
NA WANDERI KAMAU KIONGOZI wa chama cha Wiper, Bw Kalonzo Musyoka, amesisitiza kuwa atawania urais mnamo 2022 licha ya chama chake kuwa...
Mabwanyenye wa Ukambani mbioni kupimana ubabe
KITAVI MUTUA na PIUS MAUNDU SIASA za Ukambani zinaendelea kuchukua mwelekeo mpya huku uhasama mkubwa ukiibuka kati ya mabwenyenye wawili...
Muthama aapa kuzima Kalonzo kisiasa 2022
WYCLIFF KIPSANG na GASTONE VALUSI CHECHE za maneno kati ya kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka na aliyekuwa seneta wa Machakos,...
Wiper yaishtaki ODM kuhusu uongozi bungeni
Na Collins Omullo MVUTANO kuhusu wadhifa wa naibu kiongozi wa wachache katika Bunge la Kaunti ya Nairobi umechukua mkondo mpya, huku...
Wafaa kunishukuru, Muthama ajibu Kalonzo
Na GASTONE VALUSI SENETA wa zamani wa Machakos, Johnson Muthama, amejibu madai ya kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka kuwa...
- by adminleo
- July 27th, 2020
ODM yakana Raila ana mkataba wa siri na Kalonzo
Na BENSON MATHEKA CHAMA cha Orange Democratic Movement (ODM), kimekanusha kwamba kiongozi wake Raila Odinga ana mkataba wa siri na...
- by adminleo
- July 26th, 2020
Komesha ‘utikitimaji’, Kalonzo afokewa
NA JUSTUS OCHIENG VYAMA vya Orange Democratic Movement (ODM), Amani National Congress (ANC) na Ford Kenya, sasa vinataka chama cha Wiper...
- by adminleo
- July 26th, 2020
JAMVI: Je, ni busara kwa Kalonzo kuungana na Jubilee?
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa Wiper, Bw Kalonzo Musyoka ameanza kucheza kamari ya kisiasa kwa njia tofauti, akitangulia na kuondoa chama...
- by adminleo
- July 21st, 2020
Wiper yavunja mkataba na Nasa, yaingia Jubilee rasmi
Na BENSON MATHEKA CHAMA cha Wiper kinachoongozwa na Bw Kalonzo Musyoka, kimeamua kuunda muungano rasmi na Chama cha Jubilee. Hatua...
- by adminleo
- July 19th, 2020
JAMVI: Kalonzo alivyomwokoa Ngilu kutoka kinywa cha mamba
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka ‘alicheza nyuma ya pazia’ kumuokoa Gavana wa Kitui, Bi Charity Ngilu...
- by adminleo
- June 18th, 2020
Sababu ya Kalonzo kuingia safina ya UhuRaila
Na LEONARD ONYANGO SIASA za Kenya zilichukua mkondo mpya jana baada ya vyama vya Wiper na CCM kutangaza rasmi kuwa vitashirikiana na...
- by adminleo
- March 10th, 2020
Raila hafai kugombea urais 2022 – Kalonzo
Na WANDERI KAMAU KINARA wa Wiper Bw Kalonzo Musyoka amesema kuwa kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga hapaswi kuwania urais mnamo 2022,...