• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 5:50 AM

Pasta ashangaza kuomba waumini idhini afurushe mkewe

Na TOBBIE WEKESA KABATI, MURANG'A PASTA wa kanisa moja la hapa aliwaacha wengi vinywa wazi alipowaomba ruhusa waumini ili amtimue mke...

Polo aliyeokoka afichulia waumini yeye ni mpenziwe mke wa pasta

Na SAMMY WAWERU KANDARA, MURANG'A WAUMINI wa kanisa moja mtaani hapa walipigwa na mshangao jamaa aliyeamua kuokoka alipodai alikuwa...

Uchawi wazidi kanisani huku waumini wakiamini nguvu za giza kuliko Mola

Na MWANGI MUIRURI WAUMINI wengi makanisani wanashiriki uchawi kuliko wanavyozingatia mafunzo ya kidini, Muungano wa Makanisa ya...

Makasisi waliotimuliwa kuhusu ushoga wataka korti iadhibu kanisa

Na JOSEPH WANGUI KANISA Anglikana la Kenya limepuuzilia mbali ombi lililowasilishwa mahakamani na makasisi watatu ambao wanataka...

Makanisa yasisitiza uchaguzi wa 2017 wafaa kutathminiwa

Na LEONARD ONYANGO VIONGOZI wa kidini sasa wanataka tathmini ya uchaguzi wa 2017 kufanywa ili kuwe na mabadiliko yatakayohakikisha kuwa...

Kanisa alimozikwa Yesu lafungwa

Na AFP JERUSALEM, ISRAELI VIONGOZI wa kidini nchini Israeli Jumatatu walifunga kanisa moja la kihistoria, ambako Yesu anaaminika...

Kalameni afukuzwa kanisani kwa kulemewa kutoa sadaka na fungu la kumi

Na LEAH MAKENA MUTHAMBI, CHOGORIA POLO wa hapa alijipata pabaya pale jina lake lilipoondolewa kwenye sajili ya washirika wa kanisa...

Wakerwa na mhubiri kuwataka waoe kanisani

Na DENNIS SINYO MAGEMO, WEBUYE MASHARIKI WAUMINI wa kanisa moja la eneo hili walitishia kugura kanisa hilo wakidai pasta wao alikataa...

Taharuki yatanda kijijini mwanamume kuvamiwa na kuuawa kanisani

Na MAGDALENE WANJA HOFU ilitanda katika kijiji cha Kimangu eneo la Rongai, kaunti ya Nakuru baada ya manamume mwenye umri wa miaka 75...

NGUGI: Kanisa linachangia matatizo ya kifamilia nchini

[caption id="attachment_1404" align="aligncenter" width="800"] Biblia Takatifu.Kanisa likikomesha vita na ung’ang’aniaji vyeo...

Mtu aliyeshambulia waumini kanisani apigwa risasi

Na MASHIRIKA JAKARTA, Indonesia POLISI nchini Indonesia Jumapili walimuua kwa kumpiga risasi mwanamume aliyeshambulia waumini katika...