Tag: katiba
- by adminleo
- October 15th, 2018
REFERENDA: Raila amchenga Uhuru
Na BENSON MATHEKA HATUA ya kinara wa ODM, Raila Odinga kupigia debe marekebisho ya Katiba imekiuka makubaliano kati yake na Rais Uhuru...
- by adminleo
- October 9th, 2018
Wabunge kuamua tarehe mpya ya uchaguzi
Na DAVID MWERE WABUNGE Jumatano wataupigia kura mswada unaopendekeza tarehe ya uchaguzi mkuu ujao ibadilishwe kutoka Jumanne ya pili ya...
- by adminleo
- October 9th, 2018
Raila na Ruto wateka mageuzi ya Katiba
Na BENSON MATHEKA WITO wa kura ya maamuzi ili kufanyia Katiba marekebisho, umegeuka safu mpya ya vita vya ubabe kati ya Naibu Rais...
- by adminleo
- October 8th, 2018
TAHARIRI:Tutafakari kuhusu mageuzi ya Katiba
NA MHARIRI HATUA ya Naibu Rais William Ruto kubadili msimamo wake kuhusu kura ya maamuzi, huenda sasa inaashiria umuhimu wa kila mmoja...
- by adminleo
- October 4th, 2018
Lazima katiba ibadilishwe, Raila asisitiza
ELISHA OTIENO na RUTH MBULA KIONGOZI wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, ametaka wale wanaopinga marekebisho ya katiba wakae kando na...
- by adminleo
- October 2nd, 2018
OBARA: Uboreshaji katiba wataka maarifa, si hisia
Na VALENTINE OBARA MJADALA kuhusu mabadiliko ya katiba umezidi kushika kasi katika miezi ya hivi majuzi. Mdahalo huo ulikuwa umetulizwa...
- by adminleo
- October 1st, 2018
Pendekezo la kubadilisha Katiba lagawanya Jubilee
Na WANDISHI WETU PENDEKEZO la kinara wa ODM Raila Odinga kutaka Katiba ifanyiwe mabadiliko limegawanya chama cha Jubilee. Kile...
- by adminleo
- July 16th, 2018
Wataalamu nao waunga mkono Katiba igeuzwe
Na KITAVI MUTUA WATAALAMU wa masuala ya katiba wameunga mkono shinikizo za kuifanyia mageuzi Katiba ya sasa, wakisema kuwa kuna haja ya...
- by adminleo
- July 12th, 2018
MAREKEBISHO YA KATIBA: Raila achokoza Jubilee
KITAVI MUTUA na VALENTINE OBARA MSIMAMO wa Kiongozi wa upinzani Raila Odinga kuwa alikubaliana na Rais Uhuru Kenyatta kutakuwa na...
- by adminleo
- June 5th, 2018
Makanisa yasisitiza katiba irekebishwe kubuni uwaziri mkuu
Na CHARLES WANYORO BARAZA Kuu la Muungano wa Makanisa nchini (NCCK) limeibua upya wito wa kutaka kufanyia Katiba mabadiliko ili kubuni...
- by adminleo
- May 24th, 2018
Waliopinga marekebisho ya katiba sasa wabadili kauli
Na WYCLIFFE KIPSANG' WANDANI wa Naibu wa Rais William Ruto, ambao awali walipinga vikali wito wa kutaka kura ya maamuzi iandaliwe ili...
- by adminleo
- May 8th, 2018
Nia ya Raila yasalia kuwa siri kuu
Na VALENTINE OBARA PENDEKEZO la Kiongozi wa Chama cha ODM, Bw Raila Odinga, kuhusu marekebisho ya Katiba limezidi kuacha viongozi na...