Tag: mahubiri
- by adminleo
- October 6th, 2019
DINI: Kupanga ni kuumaliza mwaka kabla hujauanza, panga makuu
Na FAUSTIN KAMUGISHA KUPANGA ni kuvuka daraja kabla ya kulipita. Kupanga ni kukata kanzu kabla mtoto hajazaliwa. Kupanga ni...
- by adminleo
- September 22nd, 2019
DINI: Mazuri yote unayotenda hakika yatakumbukwa daima dawamu
Na WYCLIFFE OTIENO KUNA mambo ambayo mtu huyatenda sirini na kuna mengine yanayotendwa waziwazi. Kuna mambo mazuri ambayo huwa...
- by adminleo
- September 15th, 2019
DINI: Unapobadilisha maana ya maisha unabadili maisha yako, ishi leo hii
Na FAUSTIN KAMUGISHA MAANA ya maisha ni mtihani. Ukiyapa maisha maana ya kuishi, utabadili maisha yako. Maisha ni kuishi. “Tunaishi...
- by adminleo
- September 8th, 2019
DINI: Ukitaka kesho nzuri toka katika shimo la jana, utukufu ni mbele kwa mbele
Na FAUSTIN KAMUGISHA YAJAYO ni mtihani. Kioo cha mbele cha gari ni kikubwa kuonesha kuwa makubwa yako mbele. Vioo vya upande vya...
- by adminleo
- September 1st, 2019
DINI: Neno ‘Ahsante’ huashiria unyenyekevu, au sala inayomfanya mtoaji atoe zaidi
NA PADRE FAUSTIN KAMUGISHA Shukrani ni mtihani. Kwa mtazamo wangu, shukrani ni utajiri, kutoshukuru ni umaskini. Shukrani ni furaha,...
- by adminleo
- August 25th, 2019
DINI: Ulimi unaolalamika ni dhihirisho la moyo usiotosheka, usio na shukrani
Na FAUSTIN KAMUGISHA KULALAMIKA ni mtihani. Unaweza kulalamika kuwa maua aina ya waridi yana miiba au kusifu kuwa miiba ina...
- by adminleo
- August 3rd, 2019
DINI: Anayenyenyekea hukwezwa ilhali yule anayejikweza hunyenyekezwa
Na FAUSTIN KAMUGISHA UNYENYEKEVU ni mtihani. Unapojivuna kuwa umeupata unyenyekevu unapotea. Kama wewe ni mnyenyekevu usiwaambie watu...
- by adminleo
- July 20th, 2019
DINI: Malezi yatolewayo na kina mama wa watu mashuhuri ni thawabu
Na FAUSTIN KAMUGISHA ULEZI ni wajibu muhimu. Kila nyuma ya mtu mashuhuri kuna mama makini. Mama ni mzaa chema. Lakini kila nyuma...
- by adminleo
- July 13th, 2019
DINI: Anayekuonea wivu anajitukana kuwa hajiamini, hajui ana vipaji
Na FAUSTIN KAMUGISHA WIVU ni mtihani. Mwenye wivu haonekani mzuri anapokufanya uonekane mbaya. “Baadhi ya watu watakukataa, kwa...
- by adminleo
- June 8th, 2019
Mhubiri aliyeshtakiwa kwa wizi wa hundi ageuza mahakama ‘ukumbi wa mahubiri’
Na RICHARD MUNGUTI MAHAKAMA ya Milimani Nairobi, Ijumaa iligeuzwa ukumbi wa maombi na mhubiri aliyeshtakiwa kwa wizi akidai “pepo...