• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:50 AM

KAZI BADO: Ole Gunnar asema mapenzi yake ni kuona Manchester United ikitoa ushindani mkali EPL

Na MASHIRIKA MANCHESTER, UINGEREZA MANCHESTER City, Liverpool na Manchester United ndio waliotia fora zaidi katika wiki ya kwanza ya...

Pochettino aomba radhi baada ya farakano baina ya wachezaji wa Spurs na Manchester United

Na MASHIRIKI KOCHA wa Tottenham Hotspur, Mauricio Pochettino ameomba msamaha Manchester United baada ya wachezaji wake kuvyoga mahasimu...

Pogba alilia ruhusa ya kuhama Manchester United

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza KIUNGO Mfaransa, Paul Pogba amesema wakati wake wa kuagana na Manchester United umefika, na hakuna...

IPO KAZI! Rooney amtaka Ole Gunnar Solskjaer aingie sokoni

Na MASHIRIKA NEW YORK, Amerika NAHODHA wa zamani wa Manchester United, Wayne Rooney anaamini kuwa kikosi kinachoundwa na kocha Ole...

KUFA KUPONA: Manchester United yahitaji muujiza kulaza FC Barcelona katika marudiano

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA MANCHESTER United wanahitaji muujiza mwingine hii leo Jumanne uwanjani Camp Nou, Uhispania ili kuwakomoa...

NIPE NIKUPE: Manchester United mizanini ikiwazuru Wolves kwa pambano la EPL

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA MSHAMBULIAJI Anthony Martial hatakuwa sehemu ya kikosi cha Manchester United kitakachomenyana leo na...

OLE NDIYE! Ni rasmi sasa mikoba ya United ni ya Gunnar

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza Baada ya kuhudumu kama kocha mshikilizi wa Manchester United kwa muda wa miezi minne, Ole Gunnar...

Huniambii chochote, Giggs amfokea Zlatan

Na MASHIRIKA MANCHESTER, Uingereza NYOTA mstaafu,Ryan Giggs amemfokea vikali Zlatan Ibrahimovic kwa madai kwamba winga huyo wa zamani...

Arsenal yazima makali ya United kutua nne-bora EPL

Na MASHIRIKA LONDON, UINGEREZA ARSENAL waliweka hai matumaini ya kumaliza kampeni za Ligi Kuu ya Uingereza (EPL) msimu huu ndani ya...

BAHATI YA VAR: Manchester United wapigana kufa kupona hadi wakafuzu robo fainali

Na MASHIRIKA PARIS, UFARANSA MANCHESTER United na Porto walibahatika kuingia robo-fainali ya taji la Klabu Bingwa Ulaya, ingawa kupitia...

NI KIVUMBI: Manchester United pembamba wakizuru PSG kwa marudiano ya UEFA

Na MASHIRIKA PARIS, UFARANSA LICHA ya kichapo cha 2-0 ambacho Manchester United walipokea kutoka kwa PSG katika mkondo wa kwanza ugani...