• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 6:50 AM

Baraka ya ujauzito iligeuka kuwa mahangaiko na kudhoofika kiafya

Na MWANGI MUIRURI [email protected] Twitter: @Mlincoln MNAMO Mei 12, 2012, gari dogo kuukuu, mwendo wa saa mbili usiku...

Uavyaji mimba utasalia kuwa hatia – Mahakama

Na JUMA NAMLOLA MAHAKAMA Kuu Jumatano ilikataa mbali ombi la kutaka utoaji mimba kuwa halali, ikisema kitendo hicho kitaendelea kuwa...

Chuma ki motoni kwa wanaopachika wanafunzi mimba Murang’a

NA SAMMY WAWERU ZAIDI ya wanaume 20 waliopatikana na hatia ya kupachika wanafunzi mimba katika Kaunti ya Murang’a wamehukumiwa...

Pasta ndani miaka 25 kwa kunajisi na kuua msichana mjamzito

Na GERALD BWISA PASTA mwenye umri wa miaka 30, Alhamisi alifungwa jela miaka 25 baada ya kupatikana na hatia ya kumnajisi na kumuua...

RIPOTI: Wazee wa zaidi ya miaka 50 walitia mimba wasichana 6,700 Murang’a

Na PETER MBURU RIPOTI ya kusikitisha imeonyesha kuwa wasichana 6,710 walipata uja uzito Kaunti ya Murang’a mwaka 2018. Utafiti huo...

Demu amlilia Mbappe ampachike mimba

NA MASHIRIKA KICHUNA Alicia Aylies amemtaka mshambuliaji nyota wa PSG, Kylian Mbappe kumfunga bao haraka upesi wakati wanapoendelea na...

AUNTY POLLY…: Yawezekana kushika mimba na umejikinga?

Na PAULINE ONGAJI RAFIKI yangu ana mimba licha ya kutumia mbinu za kupanga uzazi. Inawezekana kushika mimba hata iwapo unatumia mbinu za...

Afurushwa nyumbani kwa kuzaa na babake mzazi

Na KAZUNGU SAMUEL FURAHA ya kujifungua mtoto salama katika hospitali kuu ya mkoa wa Pwani, jijini Mombasa, imegeuka karaha kwa Mary...

Fred sasa ni kidume kamili, afunga bao la hakika

Na CHRIS ADUNGO KIUNGO wa Manchester United, Fred sasa ameingia kundi la majanadume kamili baada ya mchuma wake Monique Salum kumzalia...

Bloga matatani kusema wanawake wasiavye mimba ya ubakaji

MASHIRIKA Na PETER MBURU BLOGA mmoja tatanishi amekashifiwa vikali, baada ya kusema kuwa wanawake hawafai kuavya mimba wanazopata kwa...

Muuguzi aliyetunga mimba mgonjwa mahututi anaswa

NA MASHIRIKA MUUGUZI wa kiume alikamatwa jimbo la Arizona Jumatano kuhusiana na kisa ambapo mwanamke aliyepoteza fahamu kwa muda mrefu...

Kizimbani kwa kuhadaa polisi alitolewa mimba alipotekwa nyara

Na BRIAN OCHARO MWANAMKE wa miaka 20 ameshtakiwa katika mahakama ya Mombasa kwa kutoa taarifa za uongo juu ya ujauzito na utoaji wa...