Tag: mimba
- by adminleo
- June 29th, 2019
Baraka ya ujauzito iligeuka kuwa mahangaiko na kudhoofika kiafya
Na MWANGI MUIRURI [email protected] Twitter: @Mlincoln MNAMO Mei 12, 2012, gari dogo kuukuu, mwendo wa saa mbili usiku...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Uavyaji mimba utasalia kuwa hatia – Mahakama
Na JUMA NAMLOLA MAHAKAMA Kuu Jumatano ilikataa mbali ombi la kutaka utoaji mimba kuwa halali, ikisema kitendo hicho kitaendelea kuwa...
- by adminleo
- June 12th, 2019
Chuma ki motoni kwa wanaopachika wanafunzi mimba Murang’a
NA SAMMY WAWERU ZAIDI ya wanaume 20 waliopatikana na hatia ya kupachika wanafunzi mimba katika Kaunti ya Murang’a wamehukumiwa...
- by adminleo
- May 23rd, 2019
Pasta ndani miaka 25 kwa kunajisi na kuua msichana mjamzito
Na GERALD BWISA PASTA mwenye umri wa miaka 30, Alhamisi alifungwa jela miaka 25 baada ya kupatikana na hatia ya kumnajisi na kumuua...
- by adminleo
- May 21st, 2019
RIPOTI: Wazee wa zaidi ya miaka 50 walitia mimba wasichana 6,700 Murang’a
Na PETER MBURU RIPOTI ya kusikitisha imeonyesha kuwa wasichana 6,710 walipata uja uzito Kaunti ya Murang’a mwaka 2018. Utafiti huo...
- by adminleo
- May 20th, 2019
Demu amlilia Mbappe ampachike mimba
NA MASHIRIKA KICHUNA Alicia Aylies amemtaka mshambuliaji nyota wa PSG, Kylian Mbappe kumfunga bao haraka upesi wakati wanapoendelea na...
- by adminleo
- March 19th, 2019
AUNTY POLLY…: Yawezekana kushika mimba na umejikinga?
Na PAULINE ONGAJI RAFIKI yangu ana mimba licha ya kutumia mbinu za kupanga uzazi. Inawezekana kushika mimba hata iwapo unatumia mbinu za...
- by adminleo
- March 6th, 2019
Afurushwa nyumbani kwa kuzaa na babake mzazi
Na KAZUNGU SAMUEL FURAHA ya kujifungua mtoto salama katika hospitali kuu ya mkoa wa Pwani, jijini Mombasa, imegeuka karaha kwa Mary...
- by adminleo
- February 4th, 2019
Fred sasa ni kidume kamili, afunga bao la hakika
Na CHRIS ADUNGO KIUNGO wa Manchester United, Fred sasa ameingia kundi la majanadume kamili baada ya mchuma wake Monique Salum kumzalia...
- by adminleo
- January 29th, 2019
Bloga matatani kusema wanawake wasiavye mimba ya ubakaji
MASHIRIKA Na PETER MBURU BLOGA mmoja tatanishi amekashifiwa vikali, baada ya kusema kuwa wanawake hawafai kuavya mimba wanazopata kwa...
- by adminleo
- January 25th, 2019
Muuguzi aliyetunga mimba mgonjwa mahututi anaswa
NA MASHIRIKA MUUGUZI wa kiume alikamatwa jimbo la Arizona Jumatano kuhusiana na kisa ambapo mwanamke aliyepoteza fahamu kwa muda mrefu...
- by adminleo
- January 9th, 2019
Kizimbani kwa kuhadaa polisi alitolewa mimba alipotekwa nyara
Na BRIAN OCHARO MWANAMKE wa miaka 20 ameshtakiwa katika mahakama ya Mombasa kwa kutoa taarifa za uongo juu ya ujauzito na utoaji wa...