• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 7:12 PM

MOKAYA: Bado Guardiola ni mkali kuliko Mourinho

NA JOB MOKAYA Juma lililopita kocha wa Manchester United Jose Mourinho alinyolewa upara bila maji na kocha wa Manchester City baada ya...

Mourinho aapa kuiadhibu Juventus UEFA

Na CECIL ODONGO MKUFUNZI wa Manchester United Jose Mourinho ameahidi kwamba kikosi chake kitaiangushia mibabe wa ligi ya Serie A...

MOKAYA: Mourinho ni kuku wa kuchinjwa

NA JOB MOKAYA KUFUTWA kwa kocha wa Manchester United Jose Mourinho sasa ni suala la lini wala si iwapo. Kufutwa huko kunatokana na...

Pogba au Mourinho, nani aondoke?

NA JOB MOKAYA WIKI iliyopita, ulimwengu wote wa soka ulishuhudia tukio la kushangaza sana. Mitandao ya kijamii ilisheheni kanda ya video...

Mourinho amvua Pogba unahodha

Na CECIL ODONGO MKUFUNZI wa Manchester United Jose Mourinho amethibitisha kwamba kiungo Paul Pogba amepokonywa unaibu nahodha wa timu...

Pogba na Mourinho warukiana kufuatia sare dhidi ya Wolves

Na CECIL ODONGO UHASAMA kati ya Kiungo wa Manchester United Paul Pobga na kocha Jose Mourinho unaendelea kutokota baada ya mwanadimba huyo...

SOKA SAFI AU MATOKEO? Kiini cha Mourinho kukaangwa na wanahabari kuliko makocha wengine

Na PETER MBURU KOCHA wa Manchester United Jose Mourinho Jumatatu aliondoka kutoka kikao na wanahabari kwa hasira, baada ya kukabiliwa na...

KIPENGA: Udhaifu wa Mourinho ni kukosa uvumilivu unaofaa

Na JOB MOKAYA Msimu umekamilika huku Jose Mourinho akiambulia nunge kama mwenzake wa Arsenal, Arsene Wenger. Chelsea, ingawa...