Tag: MOURINHO
- by adminleo
- November 19th, 2018
MOKAYA: Bado Guardiola ni mkali kuliko Mourinho
NA JOB MOKAYA Juma lililopita kocha wa Manchester United Jose Mourinho alinyolewa upara bila maji na kocha wa Manchester City baada ya...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Mourinho aapa kuiadhibu Juventus UEFA
Na CECIL ODONGO MKUFUNZI wa Manchester United Jose Mourinho ameahidi kwamba kikosi chake kitaiangushia mibabe wa ligi ya Serie A...
- by adminleo
- October 8th, 2018
MOKAYA: Mourinho ni kuku wa kuchinjwa
NA JOB MOKAYA KUFUTWA kwa kocha wa Manchester United Jose Mourinho sasa ni suala la lini wala si iwapo. Kufutwa huko kunatokana na...
- by adminleo
- October 1st, 2018
Pogba au Mourinho, nani aondoke?
NA JOB MOKAYA WIKI iliyopita, ulimwengu wote wa soka ulishuhudia tukio la kushangaza sana. Mitandao ya kijamii ilisheheni kanda ya video...
- by adminleo
- September 26th, 2018
Mourinho amvua Pogba unahodha
Na CECIL ODONGO MKUFUNZI wa Manchester United Jose Mourinho amethibitisha kwamba kiungo Paul Pogba amepokonywa unaibu nahodha wa timu...
- by adminleo
- September 24th, 2018
Pogba na Mourinho warukiana kufuatia sare dhidi ya Wolves
Na CECIL ODONGO UHASAMA kati ya Kiungo wa Manchester United Paul Pobga na kocha Jose Mourinho unaendelea kutokota baada ya mwanadimba huyo...
- by adminleo
- August 29th, 2018
SOKA SAFI AU MATOKEO? Kiini cha Mourinho kukaangwa na wanahabari kuliko makocha wengine
Na PETER MBURU KOCHA wa Manchester United Jose Mourinho Jumatatu aliondoka kutoka kikao na wanahabari kwa hasira, baada ya kukabiliwa na...
- by adminleo
- May 21st, 2018
KIPENGA: Udhaifu wa Mourinho ni kukosa uvumilivu unaofaa
Na JOB MOKAYA Msimu umekamilika huku Jose Mourinho akiambulia nunge kama mwenzake wa Arsenal, Arsene Wenger. Chelsea, ingawa...