Tag: mtihani
- by T L
- March 22nd, 2022
Mwanafunzi wa chuo kikuu ashtakiwa kupatikana na mtihani
Na RICHARD MUNGUTI MWANAFUNZI wa chuo kikuu cha Zetech alishtakiwa jana kwa kupatikana na makaratasi ya mtihani unaoendelea wa shule za...
- by T L
- October 27th, 2021
Inasikitisha ni wahudumu 10 pekee wa afya wamefuzu kuajiriwa Uingereza – Kagwe
Na WANGU KANURI Waziri wa Afya Mutahi Kagwe amesikitikia idadi kubwa ya wahudumu wa afya kufeli kwenye jaribio la mtihani Kiingereza...
Akamatwa kwa kumfanyia mpenziwe mtihani
Na AFP MWANAFUNZI nchini Senegal amekamatwa na kuzuiliwa na polisi kwa madai ya kumsaidia mpenziwe kufanya mtihani wa shule ya...
- by adminleo
- November 27th, 2019
Mtihani wa KCSE 2019 wafika tamati
Na CHARLES WASONGA MTIHANI wa kitaifa wa kidato cha nne (KCSE) umekamilika Jumatano huku Wizara ya Elimu ikisema visa vya majaribio ya...
- by adminleo
- October 31st, 2019
Polisi afyatua risasi hewani mtihani ukiendelea
Na WAANDISHI WETU MTIHANI wa Darasa la Nane (KCPE) unafikia tamati leo Alhamisi huku visa vingi vikushuhudiwa jana Jumatano katika...