Tag: muafaka
- by adminleo
- April 22nd, 2018
Jopo maalum kuundwa kufanikisha muafaka wa Uhuru na Raila
Na CHARLES WASONGA KIONGOZI wa chama cha ODM Raila amesema yeye pamoja na Rais Uhuru Kenyatta watabuniwa jopo maalum litakalowashauri...
- by adminleo
- April 16th, 2018
Kuria apokelewa vizuri Nyanza baada ya muafaka
NA PETER MBURU MUAFAKA baina ya mkono kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga umewanusuru viongozi wengi waliochukiwa...
- by adminleo
- April 16th, 2018
ODM: Ruto anavuruga muafaka wa Uhuru na Raila
VALENTINE OBARA na DAVID MWERE WABUNGE wa upinzani wamemkashifu Naibu Rais, Bw William Ruto, kwa kupinga pendekezo kuhusu marekebisho ya...
- by adminleo
- April 9th, 2018
ODM yaionya Jubilee dhidi ya kuvuruga muafaka
Na BARACK ODUOR WABUNGE wa Chama cha ODM wameonya wenzao wa Jubilee dhidi ya kujaribu kuvuruga maelewano kati ya Rais Uhuru Kenyatta na...
- by adminleo
- April 1st, 2018
JAMVI: Raila njiapanda huku wandani na wafuasi wakitilia shaka mkataba
Na LEONARD ONYANGO KIONGOZI wa Upinzani Raila Odinga amejipata pabaya baada ya wandani na wafuasi wake kuanza kutilia shaka mkataba wa...
- by adminleo
- April 1st, 2018
JAMVI: Huenda ushirikiano mpya wa Raila na Uhuru ukamfaa pakubwa Moi
Na WANDERI KAMAU HUENDA muafaka wa kisiasa ulioafikiwa hivi majuzi kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa ODM Raila Odinga ukageuka...
- by adminleo
- April 1st, 2018
JAMVI: Muafaka ulivyoyeyusha siasa kali za Raila na NASA
Na BENSON MATHEKA HUENDA kinara wa NASA, Raila Odinga aliangukia mtego wa kuzima siasa zake kali za kuikosoa serikali kwa kukubali...
- by adminleo
- April 1st, 2018
Orengo ataka Raila asitishe muafaka na Uhuru
Na JUSTUS WANGA CHAMA cha ODM sasa kinamtaka kiongozi wake Raila Odinga kusitisha ushirikiano wake na Rais Uhuru Kenyatta kutokana na...
- by adminleo
- March 21st, 2018
TAHARIRI: Muafaka usiwe kifo cha upinzani
Na MHARIRI MALUMBANO ndani ya vyama tanzu vya upinzani unaendelea kupandisha joto la kisiasa ambalo lilikuwa limezimwa na mkutano wa...