Tag: muafaka
- by adminleo
- October 31st, 2018
Mwanamume mbioni kuhakikisha muafaka wa Uhuru na Raila umegeuzwa sikukuu
Na PETER MBURU MWANAMUME mmoja ameshangaza kuandikia Bunge la Kitaifa barua akitaka siku ambayo Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa chama...
- by adminleo
- October 19th, 2018
Uadui wa Mzee Kenyatta na Oginga Odinga ulivyoitatiza Kenya
Na BENSON MATHEKA SIASA za Kenya zimeegemea familia za Jaramogi Oginga Odinga na Mzee Jomo Kenyatta, mashujaa wawili wa vita vya...
- by adminleo
- October 19th, 2018
Uhuru na Raila kutuzwa London kwa kuzima uhasama wa kisiasa
Na VALENTINE OBARA RAIS Uhuru Kenyatta na kiongozi wa upinzani Raila Odinga watapokea tuzo ya heshima kuu nchini Uingereza kwa muafaka...
- by adminleo
- September 26th, 2018
Nitaunga mkono muafaka UhuRuto wakiomba radhi kwa kuiba kura – Miguna
Na BENSON MATHEKA WAKILI mbishi Dkt Miguna Miguna ameapa kuwa hawezi kukubali muafaka wowote na viongozi wa serikali ya Kenya hadi...
- by adminleo
- August 7th, 2018
ONYANGO: Raila atumie ukuruba na Uhuru kuleta mageuzi
Na LEONARD ONYANGO KIONGOZI wa Wengi Bungeni Aden Duale amegonga ndipo kwa kuhimiza Rais Uhuru Kenyatta na kinara wa ODM Raila Odinga...
- by adminleo
- August 7th, 2018
Mudavadi adai Raila aliwaficha kuhusu muafaka
Na VALENTINE OBARA KIONGOZI wa Chama cha Amani National Congress (ANC), Bw Musalia Mudavadi, ameibua shaka kuhusu kama Kiongozi wa Chama...
- by adminleo
- August 7th, 2018
TUNARUDI TENA CHAMA KIMOJA? Demokrasia hatarini
Na BENSON MATHEKA Kenya inarejea taratibu katika utawala wa chama kimoja kufuatia matukio ya hivi majuzi ya wanasiasa kujiunga na...
- by adminleo
- August 6th, 2018
OBARA: Twahitaji muujiza wa pili ili mwafaka ufanikiwe
Na VALENTINE OBARA Baada ya kusubiri kwa miezi mitano, hatimaye mojawapo ya malengo makuu ya muafaka baina ya Rais Uhuru Kenyatta na...
- by adminleo
- May 15th, 2018
Askofu asihi maombi kwa wapatanishi
GITONGA MARETE Na JOSEPH WANGUI MMOJA wa watu 14 waliochaguliwa kusimamia juhudi za kupatanisha taifa amesihi Wakenya wawaombee kwani...
- by adminleo
- May 1st, 2018
Leba Dei: Makali ya uchumi yawatafuna zaidi Wakenya
Na BENSON MATHEKA WAKENYA Jumanne waliadhimisha siku ya wafanyakazi ulimwenguni katika mazingira magumu mno, gharama ya maisha...
- by adminleo
- May 1st, 2018
MUAFAKA: Orodha ya Uhuru na Raila yapingwa vikali
Na WAANDISHI WETU UAMUZI wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa upinzani, Bw Raila Odinga kuteua jopokazi la watu 14 kuwashauri kuhusu...
- by adminleo
- April 29th, 2018
Tumia muafaka kunirejesha Kenya, Miguna amlilia Raila
Na WYCLIFFE MUIA WAKILI Miguna Miguna sasa anamtaka kinara wa ODM Raila Odinga kutumia muafaka aliyotia saini na Rais Uhuru Kenyatta...