• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 1:14 PM

‘Muziki una raha na karaha zake’

Na MWANGI MUIRURI MSANII Patrick Mwangi anakiri kuwa sekta ya muziki nchini ina raha na karaha zake. Anasema tajriba yake ya miaka 11...

JUSTUS THUKU: Kimuziki analenga kufikia wakali wa Bongo

Na JOHN KIMWERE NI matumaini ya kila msanii kuona anafanya vizuri kisanaa na kukua kimuziki. Chipukizi yeyote huwa na maazimio ya kazi...

KINGSTAR: Atesa anga kwa vibao vyake ‘Nataka Wajue’, ‘Mapenzi ni Sumu’

Na JOHN KIMWERE NDIO ameanza kupiga ngoma ambapo amepania kukwea milima na mabonde kusudi kutinga levo ya kimataifa katika burudani ya...

JOHN OGO: Msanii ibuka anayelenga kuwapa matumaini wanaougua Ukimwi

Na JOHN KIMWERE AMEPANIA kutumia utunzi wa nyimbo zake kubadilisha maisha ya wengi hapa nchini. Anaamini ni kipaji alichotunukiwa na...

Agora wasanii wenye azma ya kufikia upeo wa Wasafi Classic Baby

NA RICHARD MAOSI UKITAKA kung'amua urojo wa ngoma, basi mwenyewe ingia ndani ucheze. Hii ndiyo kaulimbiu ya kundi la Agora Music School,...

MAPOZI: Mwanamuziki Evelyne Wanjiru

Na PAULINE ONGAJI JINA lake katika ulingo wa muziki wa injili nchini sio geni; na sio kutokana na mwangaza mbaya wa habari au muziki tata,...