Tag: nairobi
- by adminleo
- February 20th, 2020
‘Wanafunzi Wuhan hawatasafirishwa kuja nchini’
Na DIANA MUTHEU SERIKALI haijaweka mikakati yoyote kuwaondoa Wakenya kutoka China; taifa ambalo limeathirika pakubwa ma virusi vya...
- by adminleo
- October 25th, 2019
Elachi aongoza sherehe ya kuapishwa kwa wanachama wapya wa bodi ya huduma za bunge la Nairobi
Na CHARLES WASONGA SPIKA wa Bunge la Kaunti ya Nairobi Beatrice Elachi mnamo Jumatano aliongoza hafla fupi ya kuapishwa kwa wanachama...
- by adminleo
- October 25th, 2019
Vuta n’kuvute yaendelea City Hall
Na CHARLES WASONGA MZOZO katika bunge la kaunti ya Nairobi ulionekana kuendelea kutokota Alhamisi baada ya karani wa bunge hilo Jacob...
- by adminleo
- September 28th, 2019
MUTUA: Hadhi yetu isidhalilishwe kimataifa na wanaopora
Na DOUGLAS MUTUA MOJAWAPO ya matusi maarufu zaidi dhidi ya raia wa kigeni nchini Rwanda humkanya mtu kutofanya mambo polepole kama...
- by adminleo
- September 14th, 2019
United Bank for Africa yafanya usafi jijini Nairobi
Na GEOFFREY ANENE HUKU jiji la Nairobi likikabiliwa na changamoto jinsi ya kukabiliana na utupaji wa taka, benki ya United Bank for...
- by adminleo
- June 2nd, 2019
Nairobi yatajwa jiji bora la mikutano ya kibiashara Afrika
NA LEONARD ONYANGO JIJI la Nairobi kwa mara nyingine limeibuka bora zaidi kwa safari za kibiashara barani Afrika katika Tuzo za Safari...
- by adminleo
- January 2nd, 2019
Wakazi wa Nairobi walivyoteswa na Sonko 2018
Na RICHARD MUNGUTI HUKU mwaka wa 2019 ukianza, wakazi wa jiji la Nairobi na wananchi kwa jumla hawatasahau siku walipozuiliwa kushushwa...
- by adminleo
- October 23rd, 2018
Wakazi wa Nairobi kutozwa ushuru zaidi
Na BERNARDINE MUTANU WAKAZI wa Kaunti ya Nairobi watalipa ushuru zaidi kutokana na kuanzishwa kwa aina mpya za madaraja ya ushuru na...
- by adminleo
- April 22nd, 2018
JAMVI: Mkono fiche wa mabilionea unaomtetemesha Sonko jijini
Na WYCLIFFE MUIA KWA mara nyingine, Gavana wa Nairobi, Mike Sonko amemkabili vikali Katibu katika Wizara ya Usalama wa Ndani, Karanja...
- by adminleo
- April 4th, 2018
Tamasha zang’oa nanga kwa shairi la kusisimua
Na ANTHONY NJAGI AWAMU ya 59 ya michezo ya kuigiza ya kitaifa baina ya shule na vyuo yalianza Jumanne katika shule ya wavulana ya...
- by adminleo
- April 4th, 2018
Maji taka katikati ya jiji? Sonko amefeli, asema Atwoli
[caption id="attachment_4076" align="aligncenter" width="800"] Bw Francis Atwoli katika mahojiano awali. Picha/ Maktaba[/caption] Na...
- by adminleo
- March 27th, 2018
Mabwanyenye wachache wanamiliki 80% ya utajiri Nairobi na Mombasa – Utafiti
Na BERNARDINE MUTANU WAKAZI wachache wa Nairobi na Mombasa ndio matajiri zaidi nchini Kenya kulingana na utafiti wa hivi punde. Utafiti...