• Nairobi
  • Last Updated May 1st, 2024 10:08 PM

JAMVI: ‘Baba’ anajua kwamba UhuRuto wanamkata miguu kule Nyanza?

Na LEONARD ONYANGO RAIS Uhuru Kenyatta na Naibu wa Rais William wameanza mchakato wa kutaka kumlemaza kisiasa kiongozi wa ODM Raila...

JAMVI: Hivi anavyokuja Obado, ndiye kizibo cha Raila Nyanza?

Na LEONARD ONYANGO HATUA ya Gavana wa Migori Okoth Obado kumshambulia kinara wa ODM Raila Odinga imezua hisia tofauti miongoni mwa...

Handisheki ilivyoimairsha ukuaji wa uchumi Nyanza

Na RUTH MBULA ENEO la Nyanza limefaidika na miradi ya mabilioni ya fedha kutoka kwa serikali kuu ambayo imechochea uwezo wa kiuchumi...

Nyanza kuvuna zaidi kutokana na muafaka

Na PETER MBURU MUAFAKA wa Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga umezidi kulizalia eneo la Nyanza matunda, kwani sasa Jiji la...

Kuria apokelewa vizuri Nyanza baada ya muafaka

NA PETER MBURU MUAFAKA baina ya mkono kati ya Rais Uhuru Kenyatta na kiongozi wa ODM Raila Odinga umewanusuru viongozi wengi waliochukiwa...