Tag: nys
- by adminleo
- June 20th, 2018
Washukiwa wa NYS wanyimwa dhamana tena
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wote41 wa sakata mpya ya shirika la huduma ya vijana kwa taifa NYS wanaodaiwa walifuja zaidi ya Sh9 bilioni...
- by adminleo
- June 20th, 2018
Wabunge wamkemea Waiguru kuwatisha kwa kumhusisha na ufisadi NYS
Na CHARLES WASONGA Mbunge wa Shinyalu Justus Kizito amemkaripia Gavana wa Kirinyaga Anne Waiguru kwa kutisha kuwashtaki wabunge ambao...
- by adminleo
- June 20th, 2018
Waiguru atisha kumshtaki Jicho Pevu kwa kumhusisha na wizi NYS
Na CHARLES WASONGA GAVANA wa Kirinyaga Anne Waiguru ametisha kumshtaki Mbunge wa Nyali Mohammed Ali kwa kumhusisha na sakata ya wizi wa...
- by adminleo
- June 13th, 2018
Uamuzi kuhusu dhamana kwa washukiwa 47 wa NYS kutolewa Juni 19
Na RICHARD MUNGUTI WASHUKIWA wote 47 wanaoshtakiwa kwa sakata ya mamilioni ya pesa katika Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS)...
- by adminleo
- June 7th, 2018
SAKATA YA NYS: Wabunge wa Jubilee na Nasa wataka Waziri Kariuki ang’atuliwe
Na CHARLES WASONGA WABUNGE watano Alhamisi walimtaka Waziri wa Afya Bi Sicily Kariuki ajiuzulu la sivyo watamtimua afisini kuhusiana na...
- by adminleo
- June 7th, 2018
SAKATA YA NYS: Washukiwa kusalia ndani hadi Juni 12
Na RICHARD MUNGUTI KIZINGITI kikuu kilikumba kesi dhidi ya washukiwa 46 wa sakata ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS)...
- by adminleo
- June 7th, 2018
Hatujatia chochote mdomoni tangu Jumapili, washukiwa wa ufisadi walia mahakamani
Na RICHARD MUNGUTI MAWAKILI wa washukiwa 43 wa sakata ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS) Jumanne walilalamika kuwa watazirai...
- by adminleo
- May 31st, 2018
SAKATA YA NYS: Watuhumiwa zaidi wajisalimisha kwa polisi
Na SAM KIPLAGAT WASHUKIWA zaidi wa kashfa ya Shirika la Huduma ya Vijana kwa Taifa (NYS), Jumatano walijisalimisha kwa Idara ya...
- by adminleo
- May 31st, 2018
SAKATA YA NYS: Washukiwa 24 kusalia ndani kwa siku 7
Na BENSON MATHEKA WASHUKIWA 24 wa sakata ya wizi wa mabilioni kutoka Shirika la Vijana wa Huduma kwa Taifa (NYS) watakaa seli kwa...
- by adminleo
- May 31st, 2018
Tutatwaa mabilioni yote ya wizi, aahidi Uhuru
Na VALENTINE OBARA WASHUKIWA wa ufisadi watakaopatikana na hatia watapokonywa mali zote walizojizolea kutokana na uporaji wa mali ya...
- by adminleo
- May 30th, 2018
SAKATA YA NYS: Mawakili wavuna vinono mahakamani
BENSON MATHEKA, VALENTINE OBARA na SAM KIPLAGAT MAWAKILI zaidi ya 15 wamepata nafasi ya kuvuna vinono kwa kuwakilisha washukiwa wa...
- by adminleo
- May 29th, 2018
SAKATA YA NYS: Uhuru ategemea DCI, DPP kuliko tume ya EACC
Na BENSON MATHEKA RAIS Uhuru Kenyatta ameonekana kubadilisha mbinu za kupigana na ufisadi huku akihusisha Idara ya Upelelezi wa Jinai...