• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 8:46 PM

Mbadi akanusha mzozo bungeni kati ya ODM, Jubilee kuhusu BBI

GEORGE ODIWUOR na IBRAHIM ORUKO KIONGOZI wa Wachache katika Bunge la Kitaifa, Bw John Mbadi, amekanusha madai kuwa wabunge wa ODM na...

Serikali ya nusu mkate yaiva

Na SAMWEL OWINO VYAMA vilivyotia saini mkataba wa ushirikiano na Chama cha Jubilee vimeanza kung'ang'ania usimamizi wa kamati kadhaa za...

ODM yakana madai Raila anatakasa mafisadi

Na ONYANGO K'ONYANGO CHAMA cha ODM kimekanusha madai kuwa kinashirikiana na watu ambao wameshtakiwa kwa ufisadi hivyo kuhujumu juhudi za...

Yafichuka ODM ilipanga kuiba kura 2007

Na MWANDISHI WETU SHIRIKA la kimataifa linalosifika kwa ufichuzi wa maovu ya kiuongozi, limetoa nakala ya siri ya Chama cha ODM...

Afisa wa ODM apatikana na Covid-19

NA IBRAHIM ORUKO AFISA katika afisi za chama cha ODM amepatikana na virusi vya corona Jumanne, katibu mkuu wa chama hicho Edwin Sifuna...

ODM yatarajia BBI kutia nguvu ‘risasi’ ya Raila

Na CHARLES WASONGA SENETA wa Siaya James Orengo ameelezea matumaini kuwa refarenda ijayo itaiwezesha ODM kufikia lengo lake kutwaa...

Hatima ya Jumwa, Wamalwa yaamuliwa

Na WAANDISHI WETU MRENGO wa upinzani Nasa umeidhinisha kutimuliwa kwa wabunge wake waasi kutoka nyadhifa za uongozi katika bunge la...

Referenda haiwezekani Julai – Karua

Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Narc Kenya, Martha Karua, amepuuza kauli ya kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga kwamba Kenya...

Sonko agawanya ODM

Na VALENTINE OBARA VIONGOZI wa Chama cha ODM sasa wamegawanyika kuhusu ikiwa madiwani wanastahili kumng'oa mamlakani Gavana wa Nairobi,...

BBI: Sababu ya ODM kutaka muda uongezwe

Na CHARLES WASONGA ODM inaunga mkono kuongeza kwa muda wa jopo la maridhiano (BBI) kwa ajili ya kukushirikisha umma katika mpango wa...

Tulivyolinda ‘bedroom’ ya baba

Na WAANDISHI WETU VIONGOZI wa chama cha ODM, wamefichua kuwa walitumia mbinu ili kuhakikisha kuwa mgombea wake katika uchaguzi mdogo wa...

KIBRA: ODM yaishtaki IEBC kuhusu sajili

Na MAUREEN KAKAH CHAMA cha ODM kimeishtaki Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa kukosa kuweka wazi sajili ya wapiga kura wa eneo...