Tag: odm
- by adminleo
- July 5th, 2020
Mbadi akanusha mzozo bungeni kati ya ODM, Jubilee kuhusu BBI
GEORGE ODIWUOR na IBRAHIM ORUKO KIONGOZI wa Wachache katika Bunge la Kitaifa, Bw John Mbadi, amekanusha madai kuwa wabunge wa ODM na...
- by adminleo
- June 28th, 2020
Serikali ya nusu mkate yaiva
Na SAMWEL OWINO VYAMA vilivyotia saini mkataba wa ushirikiano na Chama cha Jubilee vimeanza kung'ang'ania usimamizi wa kamati kadhaa za...
- by adminleo
- June 23rd, 2020
ODM yakana madai Raila anatakasa mafisadi
Na ONYANGO K'ONYANGO CHAMA cha ODM kimekanusha madai kuwa kinashirikiana na watu ambao wameshtakiwa kwa ufisadi hivyo kuhujumu juhudi za...
- by adminleo
- June 17th, 2020
Yafichuka ODM ilipanga kuiba kura 2007
Na MWANDISHI WETU SHIRIKA la kimataifa linalosifika kwa ufichuzi wa maovu ya kiuongozi, limetoa nakala ya siri ya Chama cha ODM...
- by adminleo
- June 9th, 2020
Afisa wa ODM apatikana na Covid-19
NA IBRAHIM ORUKO AFISA katika afisi za chama cha ODM amepatikana na virusi vya corona Jumanne, katibu mkuu wa chama hicho Edwin Sifuna...
- by adminleo
- June 6th, 2020
ODM yatarajia BBI kutia nguvu ‘risasi’ ya Raila
Na CHARLES WASONGA SENETA wa Siaya James Orengo ameelezea matumaini kuwa refarenda ijayo itaiwezesha ODM kufikia lengo lake kutwaa...
- by adminleo
- May 28th, 2020
Hatima ya Jumwa, Wamalwa yaamuliwa
Na WAANDISHI WETU MRENGO wa upinzani Nasa umeidhinisha kutimuliwa kwa wabunge wake waasi kutoka nyadhifa za uongozi katika bunge la...
- by adminleo
- February 28th, 2020
Referenda haiwezekani Julai – Karua
Na BENSON MATHEKA KIONGOZI wa chama cha Narc Kenya, Martha Karua, amepuuza kauli ya kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga kwamba Kenya...
- by adminleo
- February 20th, 2020
Sonko agawanya ODM
Na VALENTINE OBARA VIONGOZI wa Chama cha ODM sasa wamegawanyika kuhusu ikiwa madiwani wanastahili kumng'oa mamlakani Gavana wa Nairobi,...
- by adminleo
- December 17th, 2019
BBI: Sababu ya ODM kutaka muda uongezwe
Na CHARLES WASONGA ODM inaunga mkono kuongeza kwa muda wa jopo la maridhiano (BBI) kwa ajili ya kukushirikisha umma katika mpango wa...
- by adminleo
- November 9th, 2019
Tulivyolinda ‘bedroom’ ya baba
Na WAANDISHI WETU VIONGOZI wa chama cha ODM, wamefichua kuwa walitumia mbinu ili kuhakikisha kuwa mgombea wake katika uchaguzi mdogo wa...
- by adminleo
- November 5th, 2019
KIBRA: ODM yaishtaki IEBC kuhusu sajili
Na MAUREEN KAKAH CHAMA cha ODM kimeishtaki Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) kwa kukosa kuweka wazi sajili ya wapiga kura wa eneo...