Tag: odm
- by adminleo
- October 28th, 2019
Wazozania jina la Uhuru
Na LEONARD ONYANGO na COLLINS OMULO NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM, Raila Odinga walitumia jina la Rais Uhuru Kenyatta...
- by adminleo
- October 7th, 2019
Tumetumwa na Uhuru kupigia debe ODM Kibra – Kieleweke
Na LEONARD ONYANGO WANASIASA wa Chama cha Jubilee walio katika kundi la Kieleweke wamewataka wakazi wa eneobunge la Kibra kumpigia kura...
- by adminleo
- October 4th, 2019
ODM yamrarua Mudavadi
Na MARY WANGARI MALUMBANO ya kisiasa kati ya chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kinachoongozwa na Bw Raila Odinga, na kile cha...
- by adminleo
- September 9th, 2019
KIBRA: Mwamko mpya ODM
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM Jumamosi usiku kulimtangaza kakake marehemu Ken Okoth, Benard Imran Okoth, kuwa mpeperushaji bendera...
- by adminleo
- August 28th, 2019
ODM yaahirisha mchujo, yadai sensa imelemaza mipango
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kinachoongozwa na kinara wa upinzani Bw Raila Odinga kimeahirisha kura ya mchujo ya kuteua mgombeaji...
- by adminleo
- August 28th, 2019
ODM yatema wagombeaji tisa katika mchujo wa Kibra
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimewafungia nje tisa miongoni mwa watu waliojitokeza kutaka kuwania kiti cha ubunge eneobunge la Kibra...
- by adminleo
- August 20th, 2019
Raila kupimwa makali tena
Na CHARLES WASONGA UCHAGUZI mdogo katika eneobunge la Kibra, Kaunti ya Nairobi umetoa nafasi kwa Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga...
- by adminleo
- July 25th, 2019
ODM yapuuzilia mbali juhudi za ‘Punguza Mizigo’
LEONARD ONYANGO na OSCAR KAKAI CHAMA cha ODM kimepinga mswada wa Punguza Mzigo kwa msingi kwamba hauwiani na maono ya mageuzi...
- by adminleo
- June 30th, 2019
ODM yafifia Jubilee ikivuna ngome zake
Na BERNARDINE MUTANU CHAMA cha ODM kimepoteza umaarufu kwa Jubilee katika ngome zake za Pwani, Nyanza na Magharibi. Kwa sasa, Jubilee...
- by adminleo
- June 27th, 2019
Nanok aadhibiwa na ODM kwa kujiunga na Tangatanga
Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimemvua Gavana wa Turkana Josephat Nanok wadhifa wa Naibu Mwenyeki wa Kitaifa baada ya kuunga mkono...
- by adminleo
- June 9th, 2019
JAMVI: Siri za handisheki zakanganya ODM
Na CHARLES WASONGA MIKINZANO ya kimawazo inayodhihirika ndani ya ODM katika siku za hivi majuzi kuhusiana na baadhi ya sera za serikali...
- by adminleo
- June 3rd, 2019
ODM wapinga noti mpya
RUTH MBULA na MARY WAMBUI VIONGOZI wakuu wa Chama cha ODM, wamepinga noti mpya zilizozinduliwa na Benki Kuu ya Kenya mnamo Jumamosi, na...