• Nairobi
  • Last Updated May 18th, 2024 1:15 PM

Wazozania jina la Uhuru

Na LEONARD ONYANGO na COLLINS OMULO NAIBU Rais William Ruto na Kiongozi wa ODM, Raila Odinga walitumia jina la Rais Uhuru Kenyatta...

Tumetumwa na Uhuru kupigia debe ODM Kibra – Kieleweke

Na LEONARD ONYANGO WANASIASA wa Chama cha Jubilee walio katika kundi la Kieleweke wamewataka wakazi wa eneobunge la Kibra kumpigia kura...

ODM yamrarua Mudavadi

Na MARY WANGARI MALUMBANO ya kisiasa kati ya chama cha Orange Democratic Movement (ODM) kinachoongozwa na Bw Raila Odinga, na kile cha...

KIBRA: Mwamko mpya ODM

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM Jumamosi usiku kulimtangaza kakake marehemu Ken Okoth, Benard Imran Okoth, kuwa mpeperushaji bendera...

ODM yaahirisha mchujo, yadai sensa imelemaza mipango

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kinachoongozwa na kinara wa upinzani Bw Raila Odinga kimeahirisha kura ya mchujo ya kuteua mgombeaji...

ODM yatema wagombeaji tisa katika mchujo wa Kibra

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimewafungia nje tisa miongoni mwa watu waliojitokeza kutaka kuwania kiti cha ubunge eneobunge la Kibra...

Raila kupimwa makali tena

Na CHARLES WASONGA UCHAGUZI mdogo katika eneobunge la Kibra, Kaunti ya Nairobi umetoa nafasi kwa Kiongozi wa ODM, Bw Raila Odinga...

ODM yapuuzilia mbali juhudi za ‘Punguza Mizigo’

LEONARD ONYANGO na OSCAR KAKAI CHAMA cha ODM kimepinga mswada wa Punguza Mzigo kwa msingi kwamba hauwiani na maono ya mageuzi...

ODM yafifia Jubilee ikivuna ngome zake

Na BERNARDINE MUTANU CHAMA cha ODM kimepoteza umaarufu kwa Jubilee katika ngome zake za Pwani, Nyanza na Magharibi. Kwa sasa, Jubilee...

Nanok aadhibiwa na ODM kwa kujiunga na Tangatanga

Na CHARLES WASONGA CHAMA cha ODM kimemvua Gavana wa Turkana Josephat Nanok wadhifa wa Naibu Mwenyeki wa Kitaifa baada ya kuunga mkono...

JAMVI: Siri za handisheki zakanganya ODM

Na CHARLES WASONGA MIKINZANO ya kimawazo inayodhihirika ndani ya ODM katika siku za hivi majuzi kuhusiana na baadhi ya sera za serikali...

ODM wapinga noti mpya

RUTH MBULA na MARY WAMBUI VIONGOZI wakuu wa Chama cha ODM, wamepinga noti mpya zilizozinduliwa na Benki Kuu ya Kenya mnamo Jumamosi, na...