• Nairobi
  • Last Updated May 9th, 2024 3:36 PM

Olunga atafaulu kupiku Kipchoge tuzo za SOYA leo Ijumaa?

GEOFFREY ANENE na AYUMBA AYODI MBIVU na mbichi kuhusu wanamichezo waliotia fora nchini Kenya mwaka 2019 itajulikana leo Ijumaa usiku...

Kenya yatoka sare ya 1-1 dhidi ya wenyeji Misri

Na GEOFFREY ANENE MICHAEL Olunga alisaidia Harambee Stars kuzoa alama moja muhimu Alhamisi usiku katika mechi ya ufunguzi ya Kenya ya...

Wanyama, Olunga kupiga jeki kikosi cha Stars Misri

Na CHRIS ADUNGO KUNDI la mwisho la wachezaji wa Harambee Stars wanaosakata kabumbu ya kulipwa ughaibuni, linatarajiwa kuwasili leo...

Kashiwa Reysol ya Olunga yala sare

Na GEOFFREY ANENE REKODI ya viongozi Kashiwa Reysol ya kushinda mechi 11 mfululizo kwenye Ligi ya Daraja ya Pili ya Japan imevunjwa na...

Olunga afungia Kashiwa Reysol bao la ushindi

Na GEOFFREY ANENE Mshambuliaji Michael Olunga alirejeshwa kikosini na kocha Nelsinho Baptista na ‘kurudisha mkono’ kwa kuwa na imani...

Olunga amega pasi mbili zilizozalisha magoli

Na GEOFFREY ANENE KLABU ya Kashiwa Reysol anayochezea Mkenya Michael Olunga iliandikisha ushindi wake wa nane mfululizo na kuendelea...

OLUNGA ATUA: Olunga akamilisha kambi ya Harambee Stars jijini Paris

Na CHRIS ADUNGO MVAMIZI Michael Olunga amekuwa mchezaji wa mwisho kutua kambini mwa Harambee Stars wanaojiandaa kwa fainali za Kombe la...

ADUNGO: Baada ya kuizima nyota ya Ghana, Harambee Stars sasa wapangiwe mechi nyingi za kujifua

NA CHRIS ADUNGO HATUA ya Harambee Stars ya kuwabamiza Ghana katika mechi ya pili ya Kundi F mwishoni mwa wiki jana iliweka hai matumaini...

Olunga sasa aelekea Japan

NA CECIL ODONGO MSHAMBULIZI wa Harambee Stars Michael Olunga anatarajiwa kujiunga na klabu ya Kashiwa Reysol ya Japan kutoka timu...

Olunga aomba asiichezee Harambee Stars

Na GEOFFREY ANENE KENYA itakosa huduma mfungaji wake matata wa wakati huu, Michael Olunga katika mechi za kirafiki dhidi ya Swaziland (Mei...

Girona ya Olunga yaharamisha uvutaji sigara

Na GEOFFREY ANENE KLABU anayochezea Mkenya Michael Olunga, Girona FC, imeimarisha vita dhidi ya uvutaji wa sigara kwenye sehemu za...