Tag: sharon otieno
- by adminleo
- September 12th, 2018
Harakisheni kuchunguza mauaji ya Sharon – Gavana Obado
PETER MBURU na RICHARD MUNGUTI GAVANA wa Migori Okoth Obado Jumatano alijitokeza kwa mara ya kwanza na kukanusha kuhusika na mauaji ya...
- by adminleo
- September 11th, 2018
OBADO ABANWA: Ahojiwa kwa saa saba na kuchukuliwa sambuli za DNA
Na WAANDISHI WETU GAVANA wa Kaunti ya Migori, Okoth Obado, Jumanne alijipata kwenye kona alipohojiwa mchana kutwa na wapelelezi...
- by adminleo
- September 10th, 2018
Wandani wa Sharon wapokea vitisho
Na RUTH MBULA WATU ambao walikutana na Sharon Otieno kabla ya kukumbana na mauti yake wamekuwa wakipokea vitisho kutoka kwa watu...
- by adminleo
- September 10th, 2018
MAUAJI YA SHARON: DPP tayari kunasa Gavana Obado
NA WAANDISHI WETU MKURUGENZI wa Mashtaka ya Umma (DPP), Noordin Haji Jumapili alisema yuko tayari kumkamata Gavana wa Migori, Okoth...
- by adminleo
- September 7th, 2018
MAUAJI YA SHARON: Gavana Obado atoweka machoni pa umma
Na PETER MBURU KUTOONEKANA hadharani kwa Gavana wa Migori Okoth Obado wakati amekuwa akihusishwa na mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu...
- by adminleo
- September 7th, 2018
Upasuaji waonyesha Sharon Otieno alidungwa kisu mara 8
Na RUTH MBULA RIPOTI ya Daktari Mkuu wa Upasuaji Maiti wa Serikali, Johansen Oduor ilionyesha kuwa Sharon Otieno alidungwa kisu mara...
- by adminleo
- September 7th, 2018
Yaibuka Sharon Otieno alisema na Gavana Obado mara 6
Na PETER MBURU KISA cha kutatanisha cha mauaji ya kinyama ya mwanachuo Sharon Otieno kinazidi kupata sura mpya, huku sasa mwanga ukizidi...
- by adminleo
- September 6th, 2018
Waliomuua Sharon Otieno wakamatwe mara moja – Raila
Na PETER MBURU Kiongozi wa chama cha ODM Raila Odinga amekashifu mauaji ya mwanafunzi wa chuo kikuu cha Rongo Sharon Otieno ambaye...
- by adminleo
- September 5th, 2018
Maiti ya mwanachuo mjamzito yapatikana msituni
JUSTUS OCHIENG' na PETER MBURU POLISI Kaunti ya Homa Bay wana kibarua kigumu kuchunguza na kufahamisha Wakenya watu walioteka nyara...