Tag: teknolojia
- by adminleo
- August 8th, 2020
NGILA: Mawimbi ya 4G yatasaidia kupunguza bei ya simu
NA FAUSTINE NGILA Mwezi uliopita, nilihudhuria uzinduzi wa intaneti ya kasi ya kisasa inayotumia mawimbi ya 4G katika eneo la Mogotio,...
- by adminleo
- August 3rd, 2020
Uvumbuzi wake unavyochangia kuimarisha taifa kiteknolojia
Na SAMMY WAWERU Ikiwa ndoto ya James Nyakera ya kuwekeza na kufaulu katika sekta ya ufumbuzi wa teknolojia ya kimawasiliano (ICT)...
- by adminleo
- July 25th, 2020
Teknolojia inavyowasaidia chipukizi kufanya mazoezi
NA RICHARD MAOSI Licha ya maambukizi ya Covid-19 kulemaza jumuiya ya wapenzi wa soka, ni wakati ambapo huenda teknolojia ikaawafaa...
- by adminleo
- July 21st, 2020
ONGAJI: Wakenya wajihadhari na wageni wanaoiba ubunifu wao
Na PAULINE ONGAJI Kenya imetambulika kote duniani kama mojawapo ya mataifa yaliyo mstari wa mbele katika uvumbuzi hasa Afrika. Ni...
- by adminleo
- July 19th, 2020
Makanisa yatumia teknolojia kusajili waumini kwa ibada
Na BENSON MATHEKA MAKANISA yamelazimika kutumia teknolojia kusajili waumini kuhudhuria ibada kufuatia kanuni mpya za kuzuia maambukizi...
- by adminleo
- July 9th, 2020
WANGARI: Kenya isitoze kodi tasnia za kidijitali ili kuinua biashara
Na MARY WANGARI HUKU biashara na mashirika mbalimbali yakikumbatia mifumo ya kidijitali katika utekelezaji wa shughuli zao kutokana na...
- by adminleo
- July 7th, 2020
WANGARI: Corona imechangia katika ukuaji wa biashara kidijitali
Na MARY WANGARI IKIWA kuna jambo ambalo limejitokeza kutokana na janga la virusi vya corona ni mabadiliko katika namna ya utendakazi...
- by adminleo
- April 5th, 2020
NGILA: Blockchain itasadia pakubwa kuzima corona
Na FAUSTINE NGILA NILIPOSOMA mitandaoni kuwa China ilikuwa imeuza vifaa bandia vya kupimia virusi vya corona vipatao 640,000 kwa taifa...
- by adminleo
- April 5th, 2020
NGILA: Virusi vimetoa fursa ya kutatua matatizo yetu
NA FAUSTINE NGILA HUKU vifo kutokana na virusi vya corona vikiongezeka kila siku, hofu ya maambukizi imetanda kote nchini, licha ya...
- by adminleo
- April 5th, 2020
NGILA: Tahadhari kuna utapeli wa corona mitandaoni
Na FAUSTINE NGILA Tangu virusi vya corona vianze kusambaa kote duniani, usalama mitandaoni umedorora mno. Wadukuzi wanatumia ujanja...
- by adminleo
- March 10th, 2020
NGILA: Tutumie data ipasavyo kuimarisha ukuzaji wa chakula
NA FAUSTINE NGILA CHANGAMOTO ya uharibifu wa nzige sasa ni tisho kuu kwa utoshelevu cha chakula nchini. Nzige hawa tayari wameharibu...
- by adminleo
- March 10th, 2020
NGILA: Tutumie teknolojia kuzuia maambukizi ya corona
Na FAUSTINE NGILA KWA miezi miwili sasa, nimekuwa nikifuatilia kwa karibu jinsi ambavyo mataifa mbalimbali duniani yamekuwa...