• Nairobi
  • Last Updated May 17th, 2024 12:48 PM

FBI wavamia ofisi ya wakili wa Trump kuhusu ulaghai na filamu za ngono

Na CHRIS ADUNGO WASHINGTON, AMERIKA KIKOSI maalum cha polisi, FBI kimevamia ofisi ya wakili wa kibinafsi wa Rais Donald Trump,  Michael...

Wakenya wengine 20 watimuliwa Amerika

Na MWANDISHI WETU WAKENYA 20 ni miongoni mwa watu 100 waliofurushwa Marekani kutokana na swala tata la wahamiaji haramu huku wengine...

Trump atarajiwa kuzuru Kenya

Na PRAVINDOH NJUGUNATH RAIS wa Amerika Donald Trump anatarajiwa kuzuru Kenya wiki ijayo katika ziara yake ya kwanza barani...

Trump amtimua Godec, ateua Kyle McCarter kutwaa nafasi yake

Na WYCLIFFE MUIA RAIS Donald J. Trump Alhamisi amemfuta kazi Balozi wa Amerika nchini Kenya Robert Godec na nafasi hiyo akampa Seneta wa...

Walanguzi wote wa dawa za kulevya wanyongwe – Trump

Na AFP RAIS Donald Trump wa Amerika sasa anataka walanguzi wa dawa za kulevya wanyongwe kama njia mojawapo ya kukabiliana na mihadarati...

Trump ampiga kalamu Rex Tillerson akiwa Afrika

Na BENSON MATHEKA RAIS wa Amerika, Donald Trump alimfuta kazi waziri wake wa mashauri ya nchi za kigeni, Rex Tillerson, siku moja baada...

Trump akiri Urusi iliingilia uchaguzi wa Amerika 2016

Na AFP WASHINGTON, AMERIKA RAIS Donald Trump, alikiri Jumanne kwamba Urusi na ‘nchi nyingine’ ziliingilia uchaguzi wa urais...

Manusura akejeli Trump kwa kuzembea kudhibiti umiliki wa bunduki

Na MASHIRIKA MANUSURA wa shambulio katika shule ya Parkland, Jumamosi alimlaumu Rais Donald Trump kwa kuwa na uhusiano na chama cha...