• Nairobi
  • Last Updated May 3rd, 2024 1:20 PM

Wiki ya ubunifu yaanza rasmi

Na WANGU KANURI WIKI ya Ubunifu iling’oa nanga kwa mara ya kwanza nchini, katika shule ya serikali iliyoko katika eneo la Lower...

Wiki ya Ubunifu nchini kuanza Desemba 6

NA WANGU KANURI SERIKALI imewaomba wabunifu na washikadau katika sekta ya teknolojia kushiriki katika Wiki ya Ubunifu nchini ambayo...

Gavana ahimiza ubunifu utumike kunoa vipaji

NA SAMMY WAWERU Janga la Covid-19 limedhihirisha Kenya ina uwezo kujitengenezea nyingi ya bidhaa badala ya kutegemea mataifa ya kigeni...

Atumia ubunifu wake kuunda mtambo wa kunawa mikono

Na SAMMY WAWERU Udumishaji wa kiwango cha juu cha usafi ni miongoni mwa mikakati iliyoorodheshwa na Wizara ya Afya katika vita dhidi ya...

ONGAJI: Wakenya wajihadhari na wageni wanaoiba ubunifu wao

Na PAULINE ONGAJI Kenya imetambulika kote duniani kama mojawapo ya mataifa yaliyo mstari wa mbele katika uvumbuzi hasa Afrika. Ni...

UBUNIFU: Sanaa ya mosaic yawafaa pakubwa Daniel na Gladys

Na MARGARET MAINA [email protected] SANAA ya mosaic inahusisha kuunganisha vitu kama manyoya, plastiki, nyasi, vipande vya...

KUKABILIANA NA CORONA: Wanafunzi wa JKUAT waunda mitambo miwili ya sola

Na LAWRENCE ONGARO CHUO cha Jomo Kenyatta ( JKUAT), eneo la Juja, Kaunti ya Kiambu, kimeonyesha ubunifu wa kuunda mitambo miwili tofauti...

Corona yazindua Kenya usingizini, yazua ubunifu

Na WAANDISHI WETU  LICHA ya kutishia maisha, jamii na uchumi wa nchi, virusi vya corona vimechochea vyuo, watu binafsi na kampuni kuwa...

NGILA: Kenya ifuate mfano wa Israeli kuleta maendeleo

Na FAUSTINE NGILA KWA muda mrefu sasa, Kenya imejivunia jina ‘Silicon Savannah’ ya Afrika kutokana na uwezo wake mkubwa katika...

AKILIMALI: Vipodozi vina kazi nyinginezo za taswira na hali mbalimbali

Na MAGDALENE WANJA KWA wengi imezoeleka kwamba vipodozi hutumika kumfanya mtu apendeze ama aonekane mwenye umri mdogo zaidi. Pamoja...

Wahitimu TIBS Thika wahimizwa wawe wabunifu na wenye kujiamini

Na LAWRENCE ONGARO KUNA haja ya kuwa na subira na kujituma kwa kujitegemea baada ya kufuzu elimu ya chuoni. Mwanzilishi na pia...

Wanafunzi walezea kuhusu kifaa walichovumbua kuwafaa walemavu

RICHARD MAOSI NA KATE WANDERI Salome Njeri na Esther Amimo mwaka huu waligonga vichwa vya habari kwa kushinda tuzo ya kimataifa...