• Nairobi
  • Last Updated May 4th, 2024 7:55 AM

COVID-19: Wahudumu wa bodaboda Githurai 45 walia ‘maisha magumu’

Na LAWRENCE ONGARO WANABODABODA wa Githurai 45 wana sababu ya kulalamika wakidai hali ya maisha imekuwa ngumu. Wanasema kuwa kwa muda...